Usiogope mkuu, we ni mzee mwenzetu hatuta kufunga nyingi.Huyu Ole akisikia kitumbua kinataka kuingia mchanga anakua mkali. Arsenal tujipange, hawa RB wana CB wa 80M na wamekufa tano sisi na Mustafi itakuaje?
Ebwana nakumbuka ulichosema na mimi nikasema kwa ratiba yenu naona mna uhakika wa kushinda game ya New Castle kuliko zinazofuata.Nilisema humu United ndiyo timu favourite kushinda mechi zote kwenye hili kundi.
Wengi mlibisha sana humu kwenye hili kundi tunaweza qualify hata kabla mechi za group stage hazijaisha.
Mpaka sasa tunahitaji kushinda mechi mbili tu hasa tukiwafunga PSG na Liezpig tutakuwa tumejihakikishia kuwa wa kwanza kwenye group.
Tuheshimiane we tatu zote hizoUsiogope mkuu, we ni mzee mwenzetu hatuta kufunga nyingi.
Tutakupiga 3 tu.
DVB anazingua?
Kwenye fixture yetu ukikuta kuna.Ebwana nakumbuka ulichosema na mimi nikasema kwa ratiba yenu naona mna uhakika wa kushinda game ya New Castle kuliko zinazofuata.
So sikushangaa mlivyompiga NC, mlivyomnyoosha na PSG nikaona utoto wa Neymar na 4 2 4 ndiyo imewaponza ila baada ya suluhu ya Chelsea na mlichofanya leo aisee sikutegemea.
Hongereni.
Ebwana nakumbuka ulichosema na mimi nikasema kwa ratiba yenu naona mna uhakika wa kushinda game ya New Castle kuliko zinazofuata.
So sikushangaa mlivyompiga NC, mlivyomnyoosha na PSG nikaona utoto wa Neymar na 4 2 4 ndiyo imewaponza ila baada ya suluhu ya Chelsea na mlichofanya leo aisee sikutegemea.
Hongereni.
Wewe si ndiyo wale mlikuwa mnataka aanze ?Mkuu haoni mipira ilikua haipandi juu mpaka alivyo ingia Fernandez?
Labda mimi nilikua naangalia kutokea angel ya kulia.
Mkuu haoni mipira ilikua haipandi juu mpaka alivyo ingia Fernandez?
Labda mimi nilikua naangalia kutokea angel ya kulia.
We mpiga ramli mechi imeishajeHii Man u hii game itakwisha draw mkuu. Sioni kama mtamaliza salama.
RBL
Vp ww mpiga ramli bado upo pamoja naoAngalia tumemla mtu nne huko
Bado tuko pamoja na RBL
Kila la kheri RBL, OT ni shamba la bibi
#CFC
Nadhani umeona leo namba aliyocheza Donny.Na Donny atamuweka nani benchi kati ya Poga na Bruno ?