Mara nyingi huwa anawapaka wachezajiRoy Keane sijamsikia siku za karibu,yupo kweli?
Ole mjanja sana kinachosikitisha siku tukiwa tumefungwa game inaelekea mwisho ndo unaona anamuinua VDB....sasa sijui hapo anamtengenezea confidence au ndo anaiua kabisa★Mnao sema Evra anaongea sana niwaulize kwani nyie hamuoni Ole anazingua???★
Ole ana resources nzuri sana tatizo ni matumizi.Ole mjanja sana kinachosikitisha siku tukiwa tumefungwa game inaelekea mwisho ndo unaona anamuinua VDB....sasa sijui hapo anamtengenezea confidence au ndo anaiua kabisa
Hii Midfield mnataka nani aanze na nani akae benchi ?Ole mjanja sana kinachosikitisha siku tukiwa tumefungwa game inaelekea mwisho ndo unaona anamuinua VDB....sasa sijui hapo anamtengenezea confidence au ndo anaiua kabisa
Nashagaa shabiki wa soka jusema kwa nini mchezaji flani aanzi. Hv tunaona Pogba anavyokuwa effective akitokea bench? Mpira ni dk 90+. Anaweza akaanza afu akatoka au akaanzia benchi afu akamaliziaUkilalamikia kwanini VDB hachezi una matatizo kidogo...
Ligi imechezwa mechi ngapi?
Ana uzoefu na ligi kiasi gani?(Inatakiwa azoee taratibu)
Alisajiliwa wa kazi gani? ( Uliwahi jiuliza akiumia Bruno nani atacheza?)
Tuache kuwa watu wa lawama jamani
Kwa kweli kwa upande wangu sijaona Ni wapi ole anapozingua
Ole mjanja sana kinachosikitisha siku tukiwa tumefungwa game inaelekea mwisho ndo unaona anamuinua VDB....sasa sijui hapo anamtengenezea confidence au ndo anaiua kabisa
Hii Midfield mnataka nani aanze na nani akae benchi ?
1.Bruno Fernandez
2.Paul Pogba
3.Donny Van De Beek
Kwa vyovyote iwavyo hawa watu hawawezi kuanza pamoja katika mechi moja labda kwa kulazimisha sana.
Tusiwe kama mashabiki ya Chelsea na Arsenal ambayo kila siku yanalaumu starting x ya Mwalimu.
Mimi ni kati ya watu ambao kabla hata Bruno hajasajiliwa nilitaka Donny asajiliwe but with midfield depth tuliyonayo ni ngumu kuwatumia wote mechi moja.
Man city kwenye midfield last season au hata msimu waliotwaa ubingwa walikuwa na
1. David Silva
2. Bernardo Silva
3. Ikay Gundogan
4. Fabian Delphi
5. Kelvin De Bruyne
Lakini hakuna hata mmoja aliyewahi kulalamika juu ya kukaa benchi kwa hao leo Donny kakaa benchi tuko mechi ya tano tu ya ligi tunaanza kupiga kelele ?
Mbona hatulalamiki Pogba kuanzia benchi kumpisha Juan Mata ?
Ferran Torres hajaanza hata mechi moja.
Hakim Ziyech hahaanza hata mechi moja
Why kwa Donny iibue kelele?
Watu wanaongea Sana khs VDB,,,,
The kid is very talented, Hakuna ubishi khs hilo, ana touches flan ambazo Ni htr kwa lango la adui , na wastan wake wa assist Ni mzuri !!!
Binafsi napenda apate more minutes,,,
Tukumbuke it's just beginning, tuna mechi nyingi za ligi, FA, Carabao na UEFA!
Atacheza tu !!!
Kuimanage club Kama MU fc Ni presha kubwa, mda wote wamiliki na fans wanataka matokeo chanya, kinyume chake watahoji Sana , ndio hoja za baadhi ya wachezaji kwa nn hawatumiki !!!!
We believe in Ole,,,, ! Tumpe muda wakuu
#GGM
Nashagaa shabiki wa soka jusema kwa nini mchezaji flani aanzi. Hv tunaona Pogba anavyokuwa effective akitokea bench? Mpira ni dk 90+. Anaweza akaanza afu akatoka au akaanzia benchi afu akamalizia
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Mashabiki wa Man Utd inabidi tutambue ya kuwa haiwezekani kucheza zaidi ya players 11 uwanjani. Ligi tumechacgeza match tano tuu tunalalmika VdB hachezi?
Nilichokiona watu wanalalamika kuanza kwa James lakini wanatumia kivuli cha VdB kukosa minutes. Ingekua kaanza let say Rashy kushoto then Cavani upfront watu wasingelalamika VdB kukosa kucheza.
Wazee Ole naye ni binadamu, hawezi kuwa right kila siku na kuturidhisha mashabiki wote.
Kuna ligi, UEFA, Carabao na Fa naamini VdB atacheza tuu.
Hatuongelei kuanza au kuingia sub, hapa tunaongelea kwnn juzi hakumchezesha lkn pia kuna katabia anataka kukaanzisha ka kumuingiza vdb dk 4 au 6 kabla ya mpira kuisha, ss km alikuwa co chaguo alimsajili kwa nn? Au ndiyo tuamini wanachosema wadau kwmb management ya man u mbovu na haimpi kocha machaguo yake.Nashagaa shabiki wa soka jusema kwa nini mchezaji flani aanzi. Hv tunaona Pogba anavyokuwa effective akitokea bench? Mpira ni dk 90+. Anaweza akaanza afu akatoka au akaanzia benchi afu akamalizia
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Ataadopt mfumo taratibu mkuuu !!! Shaka ondoa ! Hata Telles, Edinson, Facundo hawatapangwa Kama sisi fans tunavyotaka, Kuna mda watakuwa regular, na pia kuna mda wataanzia bench na kuna muda hawatapangwa kabisa !★Me kuhusu Ole kumpa muda hapa UNITED Sipingani na wewe Hata mbuyu ulianza kama mchicha ila swala la huyu dogo (DvB) hata sifikirii kumpa muda kwakweli tumoe muda anamuweka Benchi kama ananiskia tutaelewana vibaya asee★
😂😂😂😂acha kutukanaYakwenu mliyaweka matakoni ?