Timu imecheza vizuri lakini tatizo la msingi bado ni kutengeneza nafasi na kufunga magoli,inabidi tupunguze sana kumtegemea RVP kufunga,Rooney/Chicharito/Kagawa/Nani/Wellbeck wote hawa wana uwezo wa kufunga wakipata nafasi
Moyes anapaswa kufanya rotation ili wachezaji kama Zaha,Januzaj,Fabio,Kagawa,Chicharito,Nani wapate nafasi ya kuonyesha viwango vyao,timu ina wachezaji wengi cha msingi ni kuwapa nafasi