Lee Cho in
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 941
- 693
Mkuu ukiondoa font three ya psg ni nani ana quality ya kuwa first eleven ya UnitedHahaha haya. Nikiongea mwisho utasema kinachomatter ni ushindi. Kuna attachments mbili nimeupload ushahidi wa jinsi quality players wa man u walivyotandaza soka safi mbele ya psg.
Watford kamfunga liva ila wakikutana tena bado Watford atakua underdog tu.Mkuu unachafua hali ya hewa, bola utulie tu, usini tafutie ban bule.
Hao PSG wako kila siku tuna wagonga alafu unatuita under dog!?
Alafu nahisi kama tutawagonga nyingi pale OT mana watakamia game ili kuvunja uteja wkt huo Utd itakuwa imerelax, mind u kipindi hicho team itakuwa imeshakuwa organized ukiunganisha na new signingMkuu unachafua hali ya hewa, bola utulie tu, usini tafutie ban bule.
Hao PSG wako kila siku tuna wagonga alafu unatuita under dog!?
Ile ni Manchester utd, team kubwa kuliko psg so wacha ulinganifu wa kizembe mkuu.Watford kamfunga liva ila wakikutana tena bado Watford atakua underdog tu.
Miaka 8 nyuma man u angekutana na psg dhahiri psg angeonekana underdog ila siyo leo. Vumilia ila ndiyo ukweli.Ile ni Manchester utd, team kubwa kuliko psg so wacha ulinganifu wa kizembe mkuu.
Sema hapo kwa Baily na Tuanzebe, mmoja ampishe Lindolf.Nina wasiwasi na mazoea ya kuwafunga psg, kisha baada ya hapo tunazorota.
Msimu wa 2018/19, baada ya kumnyuka psg na kumuondoa kwenye mashindano ya UCL, game iliyofuata ilikuwa na arsenane EPL.
Tena kabla ya psg mashabiki tuliomba miujiza ya MUNGU itendeke, na kweli tukawatoa psg.
Game na asrenane, mashabiki wa Man Utd tukajisemea, eti MUNGU apumzike, asrenane ni mteja wetu.
Kilichofuata nadhani wote tunajua, tulikula mkong'oto wa goli 2 kavu, na baada ya hapo tulipotea mazima hadi msimu unaisha, timu ilikuwa tia maji tia maji.
Game ya chelsea naiona kama ni game ambayo itatufanya tu gain confidence zaidi, maana EPL tumeanza vibaya kiukweli.
Vinginevyo chelsea anaweza akazinduka kwa kuanzia game yetu, maana mara ya mwisho alituotea goli la 3, magoli 2 yalikuwa ya kizembe.
Na prefer game na chelsea iwe hivi:-
Dean henderson
Brandon williams
Axel tuanzebe
Eric betrand bailly
Aaron wan bissaka
Scott mc tominay
Fred
Alex telles
Marcus rashford
Bruno fernandez
Edison Cavan
Substitution iwe hivi:-
Juan Mata
Victor lindelof
Paul pogba
Donny van de beek
Daniel james
Nemanja matic
Mason greenwood
Mkuu umeanza kushabikia mpira ln?Watford kamfunga liva ila wakikutana tena bado Watford atakua underdog tu.
Bora ukae kimya kijana.Detective J ruralofficer mnachotaka kuanzisha ni ubishi.
PSG ingawa ana majeruhi 7 wa first 11 lakini bado betting companies zikampa man u points 6 psg kagewa 1.
Now kwakua you need to feed your ego ngoja niandike hivi;
Psg walikua favorite kushinda mechi kuliko man u based on recent years performance, kikosi, uwezo wa wachezaji na uwezo wa kocha wao.
Hapo sawa?
Of course haiwezi badilisha the fact that underdog ni man uBora ukae kimya kijana.
Find something better to do.
Unachosema hakibadilishi kitu.
Wolves kaifunga City mara tatu...Mkuu umeanza kushabikia mpira ln?
Hivi man u ataanzaje kuwa under dog kwa PSG?
Tena timu ambayo imeshaifunga Mara 2 mfululizo?
Man u mpk leo ni mkubwa sana kwa psg unabisha?Miaka 8 nyuma man u angekutana na psg dhahiri psg angeonekana underdog ila siyo leo. Vumilia ila ndiyo ukweli.
Hahaha kwani kinachowauma ni kipi? Watu tunazungumzia performance za timu miaka ya karibuni. Ukubwa wa kihistoria? Mashabiki? Uchumi? Obviously man u kazizidi timu nyingi siyo psg tuMan u mpk leo ni mkubwa sana kwa psg unabisha?
Magazeti baada ya suala la Bruno kuzimika yamehamia kwa Mason Greenwood duhFrustration is growing at Mason Greenwood's recent behaviour. #mufc have warned the 19-year-old over repeat issues with his punctuality. [Telegraph]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Thomas Tuchel kakutana na Ole mara tatu kashinda mara moja na kafungwa mara mbili pale pale Parc de princes nani ana uwezo kuliko mwenzake ?Detective J ruralofficer mnachotaka kuanzisha ni ubishi.
PSG ingawa ana majeruhi 7 wa first 11 lakini bado betting companies zikampa man u points 6 psg kagewa 1.
Now kwakua you need to feed your ego ngoja niandike hivi;
Psg walikua favorite kushinda mechi kuliko man u based on recent years performance, kikosi, uwezo wa wachezaji na uwezo wa kocha wao.
Hapo sawa?