nakubali sheria lakini ile si ilizungumzwa na marefa wote kuwa wapunguze jazba ikiwa kweli hakuhitajiki kutowa adhabu kubwa mbili kwa pamoja basi kadi ya njano inatosha lakini kwavile gemu ngumu na uhakika wa kushinda zaidi ya goli moja inabidi refa afanye vitu vyake na hasa Fegi yupo pale