Namaanisha kigezo cha ole kufika EUFA sio kigezo cha kutokufukuzwa man u..Kwahiyo Ole ndiye aliyesababisha Mo na Van Gaal akafukuzwa ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Pochetino ataleta mpira wa Burudani...Kitu gani hicho cha ziada? Hebu kitajeni tukijue
UmeniwahiKatika hiyo misimu lete kikosi cha Liverpool halafu uangalie na baada ya Klop kupewa mahitaji yake.
Muangalie na Ole baada ya kupewa mahitaji yake huku ikiwa limebaki eneo moja sanasana la RW.
Halafu rudi tena timu aliyoachiwa Klop na aliyoachiwa Ole halafu tujadili sasa.
Kwa kuzingatia hoja yako niliyoquote kule juu, je tukitwaa kombe lolote msimu huu itakuwa ni kwa sababu ya mbinu za Ole au ni juhudi binafsi za wachezaji ?Mkuu nimekuwa nikifuatilia sana maoni yako juu ya Ole una positive view sana kwake (which is good) na ni dhahiri upo upande wake. Una point nyingi za msingi kumtetea Ole na naheshimu hilo kwa mawazo yako ila Ole HAJUI!
Msimu huu 'Ole Boys' mnasema ni match fitness ndiyo imeleta matokeo mabovu; kwa 40% nakubaliana na mawazo yako ila 60% sikubaliani na wewe. Hii timu ya Ole haijaanza kupata shida ikicheza na timu ndogo msimu huu, tumeona last season ilikuwa ni kama vile timu kubwa tu ndiyo Ole anaziweza kwenye mbinu zake.
Kipindi cha Ole tumefanikiwa kusajili wachezaji wazuri sana ila amekuja kuonyesha ni jinsi gani bench lake la ufundi linaua vipaji.
Nakumbuka maneno ya vibanda umiza mapema msimu uliopita:
"Wan, two, three Bissaka"
"James the Flash"
"Maguire" hii wadau walikuwa wanaitamka Kiswahili kuonyesha msisitizo.
Leo hii imebaki story, yapo mengi mazuri Ole kafanya ambayo yananifanya nitamani abaki ila kwa machache mabaya anayofanya ndiyo chanzo cha United kufeli.
Ukienda Everton utakuta World class player mmoja sidhani kama kuna mwingine, nenda Leeds sidhani kaka kuna World class player. Ila ukirudi Manchester United utakuta kuna Pogba, De Gea, Bruno na wachezaji wengi wenye uwezo binafsi mkubwa ambao ukiunganisha uwezo wao ndiyo unapata timu ya kueleweka.
Mimi sililii mataji kutoka kwa Ole, nataka mpira unaoeleweka uwanjani. Makombe yatakuja tukiweza kucheza soka safi as a team na kila mtu ajue namba yake na mbinu za kocha ibaki ku-deliver tu uwanjani.
Test yangu kwa Ole ni game ya Newcastle, hawa ni the likes of Crystal Palace na Brighton. Sasa hivi sitegemei kisingizio cha fitness sasa hivi mtatuambia shida ni wachezaji au mbinu na ufundishaji wa kocha.
Walifukuzwa katika mazingira gani ?Namaanisha kigezo cha ole kufika EUFA sio kigezo cha kutokufukuzwa man u..
Wakati wenzie waliopita walibeba kombe na wakafukuzwa..
Kwani huwa wanajitrain peke yao wachezaji kule mazoezini ?Yaani kwa kifupi wadau wanamaanisha hawana imani tena na Ole na ikitokea timu ikashinda inakuwa imeshinda kwa kujituma na uwezo binafsi Wa wachezaji na si mipango ya mwalimu. Na ikitokea imefungwa basi si kitu cha kushangaa Mana uwezo Wa mwalimu si Wa kushinda! Kwa maana nyingine kwa sasa ile timu inapocheza, pale kwenye benchi awepo kocha au asiwepo ni sawa tu!
Yawezekana akaendelea vizuri hata kwa msimu mzima bila shida baadae mambo yakaenda hovyo.Hapa hata mimi nakuunga mkono. Huyu Mikel Arteta watu watamkataa kabla hata msimu huu haujaisha.
Mkuu elewa walifukuzwa,,,
Nikukumbushe tu Van Gaal alifukuzwa kwa sababu mbili.Mkuu elewa walifukuzwa,,,
Labda utwambiye wewe ,,kwann ole asifukuzwe?
Kabla hawajafika England Klopp tayari alishachukua ubingwa wa Bundesliga(one of the best league in Europe after LaLiga & EPL) back to back mbele ya Bayern na kuingia fainali ya Champions league tofauti na OGS aliyekuwa anafundisha Norway (ignore mambo ya Cardiff)Nimeangalia Record za Klop na Ole toka wamekuja Epl, klop ameshika hadi nafasi ya 8, imemchukua hadi misimu 4 kuja kushika hio nafasi ya 2. Ole ameweza kushika nafasi ya 3 ndani ya misimu miwili tu. Alichofanya Ole Ndani ya misimu miwili Klop alishindwa kukifanya Misimu 4 ya mwanzo, ila Bado ole hafai.
Class ya mashabiki wetu ndio ilipo siku hizi, kocha anafaa au hafai kwa mihemuko ya mechi moja moja na sio target ya timu.
Eti vipasi,, Endelea Kusubiri Treni Airport..Sawa utashinda.Unajua hii mechi itakuwa ni battle ya wachezaji wenyewe na akili zao maana makocha wote weupe tu, Arsenal ukitoa vile vipasi hamna jipya. Timu yako ni mbovu na muda ukifika utajua.
Bado hujatueleza kwann ole asitimuliweNikukumbushe tu Van Gaal alifukuzwa kwa sababu mbili.
1. Kushindwa kuingia top four kwenye UCL.
2 Alipoteza ushawishi dress room hasa kwa senior players.
Mourinho alifukuzwa kwa sababu tatu.
1. Kutofanya vizuri mfululizo mechi kuanzia August mpaka December timu ikiwa nafasi ya 12.
2. Kupoteza ushawishi dress room kwa kugombana na kila mchezaji mfano Pogba, Martial, na Juan Mata.
3.malalamiko ya kila mara na Board kwenye media.
Mourinho alichangia sana kuturnish image ya board ya united.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kwamba mafunzo ya mwalimu hayana tija!!Kwani huwa wanajitrain peke yao wachezaji kule mazoezini ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kama unani shawishi vilee!!!!Hivi ingetokea tungeshinda mechi zote za mwanzo!
Tungeletewa wachezaji?
Hivi watu hawashtuki na mara hii mashabiki tumesahau!
Wakati wa usajili, board walikuwa kama wako chooni wanakunya, ubabaishaji mwingi.
Kabla ya game na sevilla europa, akina matic walikuwa wanamuuliza ole, vp sancho anatua au niaje!
Ole alikuwa anawapa moyo, ni hela nyingi lakini subira ni muhimu.
Hivi imagine wewe ndiyo mchezaji, unajituma kwa moyo wote, mnaambiwa mkiingia UCL, salary zenu zinarudi, bonus ya kutosha, na kikosi kitaimarishwa, ghafla bin vuu dirisha la usajili kimya!
Morali lazima iwe chini hata kama mna wachezaji wa vipaji wa sayari gani.
Board ya man utd ina mambo ya kijinga sana, ole hana kosa.
Tena ole namuona ni kocha anayejua mikakati zaidi ya ki mgt kuliko makocha wengi wa sasa.
Mimi sitaki Ole atimuliwe eleza wewe kwanini unataka atimuliweBado hujatueleza kwann ole asitimuliwe
Hata kama ilimchukuwa miaka 10 ,,lakini tangia mwanzo alionyesha ana kitu cha ziada kuwapa spurs kama akipewa muda.
Ole has proved already ,,,he has nothing more to give for man u..
Hana kitu mkuu,,team inazidi kudidimia,,man u haichezi mpira wa kufundishwa bali kila mchezaji anacheza anavyojuwa..★Mkuu ko ole anaonyesha hana kitu akipewa Muda???★
Team inacheza mpira usiovutia,Mimi sitaki Ole atimuliwe eleza wewe kwanini unataka atimuliwe
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app