Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kupoteza nusu fainali 3 ni kudhihirisha kwamba kocha hana mbinu

We are talking about one, two, three semi finals here
Diego simeone alishapoteza two consecutive finals.

Alishapoteza several semi finals

Klop alipoteza two finals akiwa na Liverpool

Guardiola alishapoteza several semi finals

Ferguson alishapoteza several finals and semi finals
Hao makocha hawana mbinu ?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Walipoteza kadhaa na walishinda kadhaa

Huyu mmasai wetu ameshinda zipi/lini

Ni kama ana allergy na makombe
 
I don't rate Diego that much, but he is better than Ole

Pia hao jamaa most ya mechi walipoteza semi finals au finals, ni kwenye makombe ya wakubwa na sio Carling au Europa
 
Walipoteza kadhaa na walishinda kadhaa

Huyu mmasai wetu ameshinda zipi/lini

Ni kama ana allergy na makombe
Ole ana misimu miwili tu akifundisha timu inayopigania makombe ulitaka atwae kombe bila timu yenye ambition hizo ?

Ferguson alikaa misimu mingapi na United bila kombe lolote ?

Klopp alikaa misimu mingapi na Borussia na baadae Liverpool bila kombe lolote ?

Carlo Anceloti amekaa misimu mingapi na timu mbalimbali bila kombe lolote ?

After all kama ni kombe alishatwaa kwenye ligi ya Norway na Molde.

Frustration as kufungwa na Totenham zisitufikie kwenye chuki dhidi ya Mwalimu ambayo itatufanya tusione lolote jema kwake.

Msimu huu ndiyo msimu pekee ambao tunapaswa kudai makombe toka kwa Ole Gunar Solkjaer chini ya hapo ni kumuonea tu.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
I don't rate Diego that much, but he is better than Ole

Pia hao jamaa most ya mechi walipoteza semi finals au finals, ni kwenye makombe ya wakubwa na sio Carling au Europa
Unaanza kuhamisha. mada ilikuwa semi finals za tournaments.

Anyway kwani Klopp wakati anapoteza final na Sevilla ile ilikuwa Champions League ?

Mbona Man city alipoteza Semi Final na Arsenal kwenye FA cup ?

Klopp toka amekuja England mbona hajawahi hata kufika finali ya FA ?

mbona Ferguson aliwahi kupoteza Quater finals ya Europa dhidi ya Athletic Bilbao ?

Huu ni msimu wa ngapi Diego Simeone hajawahi fika final hata kombe la mfalme Kyle Spain ?


Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Watu wanaofananisha United iliyochukuliwa na SAF na aliyoikuta Ole sijui huwa wanakwama wapi

Ole amechukua United United ikiwa the richest club in the world (let's say top three), ina maana timu ina uwezo wa kununua wachezaji wenye uwezo mkubwa

Ole amekabidhiwa United ikiwa most successful club in English Football, United ya SAF ilikuwa inakimbizana na Villa, Everton na Blackburn, United aliyokabidhiwa SAF ilikuwa kama Westham au Burnley ya sasa

Dortmund ya Klop was the second best team in German na by default kwa miaka hiyo na hii anachoweza kufanya kocha yoyote ambaye si wa Bayern ni kuwa wa 2,namba 1 ni almost impossible (nimesema almost)

Ole akiwa na hii man utd, kitu ambacho ANGALAU angeweza kufanya ni kuingia top 4 comfortably (sio mechi ya mwisho ya ligi kuamua), kuchukua kombe kama EFL, FA n.k.

Nakubaliana na ambao bado mna matumaini Ole afanikiwe, lakini mimi naona uwezo wake ni mdogo, japo nilitamani sana mchezaji legend wetu pia atuletee mafanikio kama kocha lakini ndio hivyo uwezo wake tia maji tia maji
 
Carling semi final haiwezi kufananishwa UCL asilani, na hii si kubadili mada

Klop alipoteza final ya Europa, akapoteza final ya UCL in two different season (na hayo ni makombe haswaa na sio makombe haya semi finalist analipwa £800, 000 kama FA
) , akaja kushinda UCL, PL n.k.

Kwa Ole tuna matumaini naye msimu atashinda makombe kwa kupigwa na Cristal Palace 3, kisha kupigwa na Spurs 6... Kwamba tutashinda makombe kwa uwezo huo


Na hapa tunaongelea kupoteza nusu fainali moja moja, huyu bwana Ole kapoteza nusu fainali 3 ndani ya msimu mmoja, sory ni ndani ya mwezi mmoja

 
Huu uandishi unafanana na uandishi Wa magazeti dizaini ya "Champion" hasa yaelezeapo Yanga na Simba
 
Klopp,Simeone,Pep & Carlo are among the best manager in Europe for more than 10 years

They have won many trophies in top league/competition (EPL,Serie A,La Liga,Bundesliga,Europa league,Champions league)

OGS have won nothing so far its doesnt making sense to compare with them

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
Walianaza kwa kupata makombe ?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Walianaza kwa kupata makombe ?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Good coach anaonekana anachofundisha hata kama hajashinda kombe wapo waliopata makombe walivyoanza kufundisha Pep,Zizou

OGS hayuko hilo kundi its almost 2 years anafundisha United nothing special so far

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
Nilichotaka kuonyesha ni kwamba hata hao big managers ameshapoteza finals na semi finals nyingi tu.

Kwahiyo kumdharau Ole kwa kupoteza three semi finals.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu wanamtaka Pochetino ambaye nothing he has won so far mpaka sasa.



Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Nilichotaka kuonyesha ni kwamba hata hao big managers ameshapoteza finals na semi finals nyingi tu.

Kwahiyo kumdharau Ole kwa kupoteza three semi finals.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Siongolei kufungwa semi final naongelea uwezo wa OGS kufundisha Manchester United ni mdogo

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…