Papaa GxPUNDA zikiwa msibani View attachment 1595266
Ye mwenyewe....Co yeye![]()
Ye mwenyewe....
Mwanzo alikuwa ananikera, asa nikiangalia na team yetu ilivyo basi sasa nacheka tu....
Yule Papaa Gx ni fala mmoja hv a.k.a troll ila huyu ni THE BOSS1 huoni hata majina hayafananiYe mwenyewe....
Mwanzo alikuwa ananikera, asa nikiangalia na team yetu ilivyo basi sasa nacheka tu....





hii picha huwa inafanya nicheke sanaC ndo apo.Mkuu tuheshimiane tafadhali huyo mtu unae nifananisha nae simjui kabisa, usije nisababishia mod kuunganisha hii acc
Ndio huyo huyo , alipigwa Ban kaja na ID nyingine
Naona unajihami Mod wasije kukuchapa BAN nyingine , kuwa na aman ,labda utukane tenaMkuu tuheshimiane tafadhali huyo mtu unae nifananisha nae simjui kabisa, usije nisababishia mod kuunganisha hii acc




Huyu tumsamehe tuuNdio huyo huyo , alipigwa Ban kaja na ID nyingine




Ndio huyo huyo , alipigwa Ban kaja na ID nyingine