Issue ya Romero vipi mkuu?MANCHESTER UNITED UEFA A-LIST SQUAD
Goalkeepers: David De Gea, Dean Henderson, Lee Grant.
Defenders: Eric Bailly, Tim Fosu-Mensah, Victor Lindelof, Harry Maguire, Luke Shaw, Alex Telles, Axel Tuanzebe, Aaron Wan-Bissaka.
Midfielders: Bruno Fernandes, Fred, Daniel James, Jesse Lingard, Juan Mata, Nemanja Matic, Scott McTominay, Facundo Pellistri, Paul Pogba, Donny van de Beek.
Forwards: Edinson Cavani, Odion Ighalo, Anthony Martial, Marcus Rashford.
Kwahiyo solution ni ipi?Man Utd missed out on ALL of Ole Gunnar Solskjaer’s transfer targets this summer including Sancho, Grealish and Ake
The club realised too late they wouldn't get Sancho and ultimately signed two youngsters who will surely have to wait for first-team action
Having missed out on Erling Haaland in January, Solskjaer was determined to spend big and revamp his lacklustre squad.
But, despite a deadline-day panic spree, the Norwegian missed out on every, single one of his top targets.
Kwa maelezo hayo hapo juu wakuu hata aje kocha gani hii timu haiwezi kusonga mbele kwa sababu hawapati wale watu ambao wana uhakika nao.
Hajajumuishwa kwenye kikosi kwasababu hayupo kwenye mipango ya kocha na sababu kubwa ni uwepo wa Henderson ambaye anaanza kuandaliwa kama future goalkeeper namba 1 wa United, pia kuna tetesi kuwa ataondoka United mwezi huu kwenda kujiunga na timu ya ligi ya Marekani (MLS)I
Issue ya Romero vipi mkuu?
Kuna mawili kwenye hiyo scenario. Either ni kweli first targets zake hazikupatikana kwa ubovu as bodi au inaweza kuwa ni story imekuwa fabricated ili mambo yakienda kombo kwa Ole kidole anyooshewe Ed. Yote ni possible.Man Utd missed out on ALL of Ole Gunnar Solskjaer’s transfer targets this summer including Sancho, Grealish and Ake
The club realised too late they wouldn't get Sancho and ultimately signed two youngsters who will surely have to wait for first-team action
Having missed out on Erling Haaland in January, Solskjaer was determined to spend big and revamp his lacklustre squad.
But, despite a deadline-day panic spree, the Norwegian missed out on every, single one of his top targets.
Kwa maelezo hayo hapo juu wakuu hata aje kocha gani hii timu haiwezi kusonga mbele kwa sababu hawapati wale watu ambao wana uhakika nao.
Yaani window hii tulikua tunahitaji 2 CBs? Something fishy.
Daah! Ole anasikitisha sana! Sergio Romero (33) hayupo kwenye mipango yake; ila Lee Grant(37) ana mipango naye.Hajajumuishwa kwenye kikosi kwasababu hayupo kwenye mipango ya kocha na sababu kubwa ni uwepo wa Henderson ambaye anaanza kuandaliwa kama future goalkeeper namba 1 wa United, pia kuna tetesi kuwa ataondoka United mwezi huu kwenda kujiunga na timu ya ligi ya Marekani (MLS)
Wanapunguza wage bills labdaDaah! Ole anasikitisha sana! Sergio Romero (33) hayupo kwenye mipango yake; ila Lee Grant(37) ana mipango naye.
Swala la huyu jamaa nafikiri wakala wake yupo slow sana na mzembe pia kutizama taswira pana. Muda ambao Dean aliposema anabaki atagombea namba pale pale alipaswa aanze kumtafutia mteja wake (Sergio) timu. Maana mpaka sasa kuna pressure kubwa sana pale golini, kuna watu wanalishauri benchi la ufundi ni muda sahihi sasa kufanya reformations pia ya eneo hilo ikiwepo kum-drop David kama golikipa namba moja ili kujenga timu upya.Daah! Ole anasikitisha sana! Sergio Romero (33) hayupo kwenye mipango yake; ila Lee Grant(37) ana mipango naye.
Kwa kiwango cha Romero ni ngumu kubaki huku akiwa anajua alikuwa kipa namba mbili na bado hiyohiyo namba amekuja mtu ambaye siyo tu kugombea namba mbili yani ndiyo mtarajiwa wa namba moja baadaye, hivyo game time hatapata so ni bora aondoke.Daah! Ole anasikitisha sana! Sergio Romero (33) hayupo kwenye mipango yake; ila Lee Grant(37) ana mipango naye.
Swala la huyu jamaa nafikiri wakala wake yupo slow sana na mzembe pia kutizama taswira pana. Muda ambao Dean aliposema anabaki atagombea namba pale pale alipaswa aanze kumtafutia mteja wake (Sergio) timu. Maana mpaka sasa kuna pressure kubwa sana pale golini, kuna watu wanalishauri benchi la ufundi ni muda sahihi sasa kufanya reformations pia ya eneo hilo ikiwepo kum-drop David kama golikipa namba moja ili kujenga timu upya.
Hii list itakuwa ni fake. Bila Greenwood?MANCHESTER UNITED UEFA A-LIST SQUAD
Goalkeepers: David De Gea, Dean Henderson, Lee Grant.
Defenders: Eric Bailly, Tim Fosu-Mensah, Victor Lindelof, Harry Maguire, Luke Shaw, Alex Telles, Axel Tuanzebe, Aaron Wan-Bissaka.
Midfielders: Bruno Fernandes, Fred, Daniel James, Jesse Lingard, Juan Mata, Nemanja Matic, Scott McTominay, Facundo Pellistri, Paul Pogba, Donny van de Beek.
Forwards: Edinson Cavani, Odion Ighalo, Anthony Martial, Marcus Rashford.
😆😆Daah! Ole anasikitisha sana! Sergio Romero (33) hayupo kwenye mipango yake; ila Lee Grant(37) ana mipango naye.
Co kwamba hajitumi bali mpira umemkataa so aondoke tu.Pogba auzwe ndiyo maana hajitumi View attachment 1594281
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app