Kinacholeta fitness ni mazoezi na muda, hatukuwa na muda wa kufanya mazoezi ndio maana hatuna fitness. Europa Imechelewa kuisha hivyo wachezaji wakachelewa kupewa likizo na sababu wamechelewa kupewa likizo wakachelewa kurudi kambini na kusababisha kuanza ligi bila fitness
Hao wengine kina Everton wamecheza mechi 10 au? Wachezaji aliowasajili Ole karibia wote wameshuka viwango japo wakati wanakuja walikuwaBissaka, DJ, Maguire, Fernandes we huoni? Je hao wote amecheza nao mechi 3?
Hahaha dunia itikisike?Sina haja ya kujua fitness ya tm zngne hazinihusu, mm naongelea man u ambayo ikizingua dunia nzima inatikisika nyie wengine na tm zenu ambazo hata zikizingua hazistui mtajijua wenyewe.
Goli 11 penati ngapi?And yet tuna Goli 11 mechi 5, je tukiweza kutengeneza itakuwaje? Na goli zote hizi 11 hazikuwa na Build up? Mpaka lile goli letu bora la mwezi?
Na LewandowskiMkuu ktk suala la kupoteza fom sijaona kwa mess na ronaldo tu ktk zama hizi timu inapowahitaj watakuwepo pale kutoa msaada
Uamuzi ulikua wa busara huu.Manchester United imejiondoa katika kumsaini mshambuliaji wa England Jadon Sancho 20, baada ya kubaini kwamba uhamisho huo huenda ukaigharimu timu hiyo £227m kutokana na dau la £108m linalotakiwa na Borussia Dortmund , pamoja na mahitaji ya marupurupu ya mshahara kutoka kwa ajenti wake (Guardian)
Dortmund walitaka kupiga mpunga unaokaribiana na mbappe au neymar ambao hao wachezaj wameshinda makombe makubwa tungepigwa yaleyale ya uhamisho wa pogba.
Hizi excuse zilianza kwa Haaland,Bellighan now Sancho kuna wachezaji wengi wazuri cheap tatizo ni how club yetu inavyojiendesha ndio maana kila mchezaji tunayemtaka anakuwa overpricedManchester United imejiondoa katika kumsaini mshambuliaji wa England Jadon Sancho 20, baada ya kubaini kwamba uhamisho huo huenda ukaigharimu timu hiyo £227m kutokana na dau la £108m linalotakiwa na Borussia Dortmund , pamoja na mahitaji ya marupurupu ya mshahara kutoka kwa ajenti wake (Guardian)
Dortmund walitaka kupiga mpunga unaokaribiana na mbappe au neymar ambao hao wachezaj wameshinda makombe makubwa tungepigwa yaleyale ya uhamisho wa pogba.
Uamuzi ulikua wa busara huu.
Maajabu mashabiki wanalalamika.
Mimi nahisi man u inapitia njia iliyopita Arsenal kipindi cha Emery.
Emery msimu mzima hana first XI. Msimu mzima anabadilisha badilisha formation, anabadilisha watu namba, morali ya timu ikashuka confidence kwa wachezaji ikashuka.
Mchezaji aliyekua anapiga pasi nyingi epl ghafla mechi nzima anapiga pasi 11.
Mambo mawili au matatu aliyokua anafanya Emery ndiyo anayafanya Ole kwa sasa. Mi naona kikosi cha man u ni kizuri ukimuondoa maguire isipokua ole kashindwa kupandisha morali ya timu
Na Lewandowski
Goli 11 penati ngapi?
Goli bora la mwezi? Lile la mwezi septemba ambalo lilikua penati ya rashford as mwezi mzima timu ilikua ina goli moja tu?
Au mwezi gani?
Acha ushabiki maandazi wewe unasemaje tumepigwa wakati hata uwanjani hajaingia
Kwa hili tuko pamoja wacha wabaki naye zen mwakani wamuuze Chelsea kwa £45mil.Manchester United imejiondoa katika kumsaini mshambuliaji wa England Jadon Sancho 20, baada ya kubaini kwamba uhamisho huo huenda ukaigharimu timu hiyo £227m kutokana na dau la £108m linalotakiwa na Borussia Dortmund , pamoja na mahitaji ya marupurupu ya mshahara kutoka kwa ajenti wake (Guardian)
Dortmund walitaka kupiga mpunga unaokaribiana na mbappe au neymar ambao hao wachezaj wameshinda makombe makubwa tungepigwa yaleyale ya uhamisho wa pogba.
Cavan tumepigwa hata kama ni free, muda hakimu
Kwa hili tuko pamoja wacha wabaki naye zen mwakani wamuuze Chelsea kwa £45mil.
Hana thamani hyo ss.Hizi excuse zilianza kwa Haaland,Bellighan now Sancho kuna wachezaji wengi wazuri cheap tatizo ni how club yetu inavyojiendesha ndio maana kila mchezaji tunayemtaka anakuwa overpriced
Dortmund hawanegotiate mshahara wa mchezaji wanaomuuza wao walitaka paundi mil 108 hayo mengine ni nyie na mchezaji
Cavani hana tofauti na Mzee Yusuph..
Walipoacha mpira/taarabu ndio wamemaliza kila kitu. Kumrudisha hakuwezi kutatua tatizo lenu.
Misuli imeshadhoofika kwa kukosa game time+ umri + ligi ya ushindani..
Mtajua hamjui, time will tell!
Tumeanza kutumia 4 2 3 1 toka msimu uliopita na hata aliposajiliwa Bruno tulitumia mfumo huo huo mbona Bruno hakuonekana miyeyusho ?Hivi upo serious kusema Fernandes ni mkali and he is second to Kevin? Bernardo Silva anacheza cricket?
Huyu jamaa siyo mbaya ila kazidiwa na wachezaji wengine isipokua anachokifanya hakijaonwa na mashabiki wa man u kwa muda mkubwa so anatukuzwa kama lulu.
Formation ya 4 2 3 1 ambayo imeanza kutumika ili kumpa nafasi Donny ikiendelea kutumika Bruno ataanza kuonekana miyeyusho. Mpaka mje kuizoea ushindi mfululizo unaousema utakua outta window.