Hapa tumekosa mtu mwingine mbadala wa Sancho ndiyo tunaenda kuokoteza watoto ?option ya uhakika ilikuwa ni jadon sancho ila bajeti hatukutaka itoshe(sijui pesa inapelekwa wapi), klabu imetumia takribani paundi millioni 100 kwa wachezaji watano(hela ambayo ilipaswa itumike kwa usajili wa sancho pekee)
walichokifanya board ni kutuonjesha maziwa ya mtindi.
Sasa mchezaji unamsajili halafu umwache kwa mkopo hii ni akili au matope ?
Si heri wangemwacha Tahit Chong ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kwanini Ole hakuwaza kama wewe wakati dili la Sancho lishakufa?Bodi imefanya usajili wa kujivua lawama tu ili wamfukuze Solkjaer vizuri.
Ndiyo maana nilisema kumuondoa Dalot lilikuwa kosa angekuwa option nzuri kwenye right wing kuliko hawa watoto wasiojulikana.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hii ndiyo Tanzania tulionayo.2017 europa league na kubeba
Hao watoto wangesajiliwa mwezi mmoja uliopita hakuna mtu angepiga kelele hapa.Scouting ikifanya kazi yake nayo shida..tukitoa £120m kwa Sancho nayo shida..
All in All,Ole inabidi asimamishe timu,no more excuses..otherwise aombe kujiuzulu kama kweli anaipenda hii klabu.
Scouting ikifanya kazi yake nayo shida..tukitoa £120m kwa Sancho nayo shida..
All in All,Ole inabidi asimamishe timu,no more excuses..otherwise aombe kujiuzulu kama kweli anaipenda hii klabu.
Chong huko aliko mpaka sasa kashafunga goli tatu na assist mbiliChong hamuwez huyu dogo hata afanyaje kibali cha kazi tu
teh tehTunanunuaje mtoto wa miaka 18 wakati hata kwenye academy tumewatoa watoto watatu wenye uwezo wa kucheza right wing ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Angalau wangeleta mchezaji mwingine ambaye ni proven player upande wa kulia siyo kununua watoto wasiojulikana.Mkuu ni kweli solskjaer anatakiwa kukaza sasa watu anao halafu sancho kwa upande wangu mi naona hata kama hajaja fresh tu pesa jamaa wanataka nyingi sana
Chong huko aliko mpaka sasa kashafunga goli tatu na assist mbili
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
teh teh
PTER umeamua kunivisha taji la matt judge
Mbona yuko kwenye timu ya wakubwa huko aliko ?Academy yetu vitoto ndio vilivyo vinafunga mech hata 10 mfululizo ukivipa namba ya uhakika timu ya wakubwa utajuta
Hii ndiyo Tanzania tulionayo.
Ole aliamini united wataweza kumsajili Sancho.Kwanini Ole hakuwaza kama wewe wakati dili la Sancho lishakufa?
Ole aliamini united wataweza kumsajili Sancho.
Kifupi Bodi imemwangusha tena mwalimu.
Let's wait for his sacking .
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
'lets wait for his sacking'Ole aliamini united wataweza kumsajili Sancho.
Kifupi Bodi imemwangusha tena mwalimu.
Let's wait for his sacking .
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
tulikuwa tunawasubiria dortmund wapunguze bei halafu pia hatukutegemea ya kwamba klabu itaanza vibaya.kwa sababu unatetea matumizi mabaya ya muda aliyoyafanya Judge.
mahrez ingeliwia vigumua sana kupata saini yake kutokana na mazingira ya timu zetu mbili.Kuna right wingers wengi tu ambao tungeweza kuwapata mfano Mahrez au Kingsley Coman
Kwa usajili huu waliofanya itakuwa ni miujiza kufika popote kwenye mashindano makubwa.'lets wait for his sacking'
Ila OGS uwa kuna sometym ananifurahisha somtym ananikwaza, yaani yupo up and down
Wangemsajili hata David Brooks wa Bournemouth siyo hawa watoto wasiojulikana.tulikuwa tunawasubiria dortmund wapunguze bei halafu pia hatukutegemea ya kwamba klabu itaanza vibaya.
mahrez ingeliwia vigumua sana kupata saini yake kutokana na mazingira ya timu zetu mbili.
ishu ya coman niliongelea zamani sana, bayern hawakuwa tayari kumruhusu kuondoka (perisic na coutinho hawakuwa wachezaji wao) hivyo bado Walihitaji kuwa na depth squad na si kundi kubwa la wachezaji.
gnabry + coman + sane + douglas costa