Itamuwa jambo zuri mkuudalot ameondoka, tafsiri yake ni kwamba brandon williams anarudishwa upande wake wa asili (beki wa kulia)
mara ya mwisho kupata huduma ya internet (juzi Ijumaa) niliona taarifa ya As roma kumuhitaji fosu mensah kwa mkopo kwenye dili la smalling (sijafahamu kinachoendelea), kama fosu mensah ataondoka huenda nafasi yake ikazibwa na ethan laird (natumai bado hajatolewa kwa mkopo).
AmenKila nafsi itaonja mauti
Mwnchester city 5
Manchester united 6
Liverpool 6 ...... mpira unaendelea
Liverpool wamekata umeme kitaa chatu
Msimu huu ligi haitabirikiMwnchester city 5
Manchester united 6
Liverpool 6 ...... mpira unaendelea
Liverpool wamekata umeme kitaa chatu
Umemaliza mkuu.Magwaya ni uchochoro kiwango cha fifa kabisa, kinachomfanya asizungumziwe sana ubovu wake ni bei aliyonunuliwa,
Lindelof amebeba sana mzigo huu wa lawama nadhani leo ameutua kabisa, kwa sababu Huyu maguire kuna mpira mmoja kaenda kukaba, akamuelekeza shaw kwenda kumkaba mtu mwingine halafu akasahau kubana miguu, ikapigwa pasi kwenye kipago chake ikamkuta son akaweka kamba, maguire ni mzurulaji tuu uwanjani anakabia macho, then akikutana na mipira iliyimjia vizuri ndo anachukulia point, jamaa ni flopu flopu😡 anafanya mistake nyingi sana huyu panya magwaya
Msimu huu ligi haitabiriki
Bado akina ArsayNO na Chelshit kupitia hizi nyakati
Endelea kuotaMsimu huu ligi haitabiriki
Bado akina ArsayNO na Chelshit kupitia hizi nyakati
Nazungumzia msimu huu........Aseno kapigwa sana hizo mkuuacha apumzike
Kama ole akifukuzwa Itabidi aondoke na msukule wake (magwaya)Umemaliza mkuu.
Afukuzwe fasta. Hatuwezi kumfukuza ole tukamuacha magwaya