Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★ Gunnar Solskjaer: "We are planning, we have players here who we believe in. The transfer window is still open for a little while. The club has been working, they know my view. We are here to strengthen it in the long ter…★

#BaBaKasema


@manutd
 
★Ole Gunnar Solskjaer has confirmed Manchester United continue to work on potential signings and insists the club are aware of his desire to strengthen the squad.


@manutd
 
Mechi hizo OLe akipanga hiki kikosi asubuh tuu tunaongoza hilo group.

De gea

AWB. Maguire. Upemecano. Telles.

Bruno Matic Vdb

Sancho. Cavan Martial


Subs: Henderson, Baily, Shaw, Pogba, Fred, Rashford, Greenwood

NB: niko naota.
Unaweka Martial kikosini
 
Mimi naamini Diogo Dalot akicheza right wing anafanya vizuri kuliko kwenye defence.

After all anatumia miguu yote left na right hivyo anaweza kufunga kwenye near post na far post.
I said uamuzi wowote wa kumuuza Dalot utakuwa uzwazwa of highest order. Bado tuna serious defending problems upande wa kulia. Bisaka bado siyo mzuri kupanda na kushuka, ni mzito na ana poor timing, urefu pekee ndo mtaji. Dalot aaminiwe acheze RW wing ikitokea hatukusajili. Martial apigwe bench, Greenwood na Rashid wafanye mbadilishano central role mmoja akitokea kushoto.
 
Michael Zorc on Jadon Sancho: We had clear agreements with him that he could make a transfer under certain circumstances, up to a certain point in time. And then the door is closed" [@cfbayern] #MUFC
 
Dalot ameenda kwa mkopo usio kuwa na kipengele cha kuuzwa ..atadumaa akibaki bora aende millan
 
radika,

Nimeona hapo juu kuna mahala umehamaki sana Bayern kumtaka mchezaji kama Callum Odoi labda kama ulikuwa unatania ila kama ulikuwa serious kuna kitu kikubwa sana ambacho unachanganya yaani mchezaji wa kuja kujenga timu vs mchezaji wa kuja kuongeza hamasa ya timu (au morali). Mchezaji wa hamasa ktk timu mara nyingi hununuliwa kwa kufanya head hunting hii ni direct approach benchi la ufundi linasema tunamtaka mtu fulani yupo mahala fulani hii ndiyo njia hutumika sana kibiashara na ndiyo hufurahisha mashabiki kwa timu zenye fan base kubwa kama Manchester United mara nyingi huleta watu wenye majina zaidi.

Na njia ya pili ni scouting-appproach based strategy hii unawapa assignment watafuta vipaji wenu kila kona kuleta majina kadhaa kwa pecking order kwa nafasi husika kwa sifa ambazo benchi la ufundi limependekeza. Hii njia kwa uchunguzi wangu binafsi ndiyo njia bora zaidi maana mnasajili watu wenye sifa sahihi zaidi haina business motives wala kufurahisha mashabiki ila inaleta wachezaji watakao fanya vizuri zaidi uwanjani. Manchester United tulifanikiwa sana na hii njia kwa miaka yote tokea Fergie awe kocha tulipofanya head hunting mara nyingi hatukufanikiwa (mf. Sebastian Veron), mara nyingi tulisajili wachezaji kwa recommendations za ma-scout na walifanya vizuri sana mf. Ronaldo, Ruud Van Nestrooy, Carlos Tevez, Chicharito, Vidic, Evra wote hawa wamekuja kujulikana zaidi Manchester United ila kabla ya hapo hawakuwa wachezaji wa kutisha sana au mvuto wa kibiashara.

Nikirudi kwenye mfumo wa usajili wa Bayern, hawa wapo kama Liverpool nilishaandika juzi jinsi Liverpool walivyo kwa sasa, yaani wanafanya strategic move sokoni wanaangalia wapi pana mapungufu na wanafukia kwa kuangalia sifa zaidi ya mtu anayenunuliwa kwa nafasi husika na sio jina la mtu anayefanya vizuri ktk nafasi fulani. Na ndio maana utaona Liverpool na Bayern hawafanyi sajili ambazo zitauza magazeti ila wanalenga capacity deliverance ya mchezaji na sio kufahamika kwake kama sisi tunavyoingia sokoni japo na wao huwa wanachanganya na head huting pia. Ndio maana utaona sisi tume-stuck na Jadon Sancho kwa ssb tunatumia head-hunting approach wa kati in reality kuna wachezaji wengi sana duniani wapo wenye vipaji kumzidi huyu dogo ila hawana media coverage mf. mchezaji kama Haaland amefahamika baada ya kucheza UEFA mwaka mmoja na nusu uliopita.
 
Bad idea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…