Probably wameshindwa kusajili kwa sababu imejengeka kuwa United wanatumia pesa nyingi kusajili hovyo hovyo.
Kama timu nyingine yoyote ingemtaka Jadon Sancho ingeweza kumpata chini ya milion mia but kwa sababu ni united lazima borussia wawe bold.
Tumetengeneza precedent ya kupigwa kwenye transfer Market hatuwezi kuiondoa hii hali kirahisi labda tuamue kuimarisha academy yetu.
Sokoni tunapigwa sana katika mazingira ambayo timu zingine ingeweza kumpata mchezaji kwa bei rahisi tu.
Huenda recruitment department yetu imejaa washamba kwenye transfer market.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Neymar sio mchezaji wa kuogopwa..Neymar hana hatari yoyote sema ni machachari kuliko Mbappe.
Neymar hawezi kuwa threat kiasi cha kutisha kucheza nae kwanza anakabika na predictable sana.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hamna kitu mule timu nzima imeshuka morali kiuchezaji mfano brunowatu mabandidu kichizi
Hakuna timu inaweza kumnunua DJ kwa hiyo pesa.
Huangalii mpira wewe NEYMAR hatari zaidi ya mbappe yule jamaa sio mchezo anatengeneza nafasi za hatari anaanzisha mashambulizi kutokea chini kabisa hadi kwenye back four zenu, anawahamisha uwanja anavyotaka yeye kulia kushoto yumo. Unamchukuliaje mtu wa namna hiyoNeymar hana hatari yoyote sema ni machachari kuliko Mbappe.
Neymar hawezi kuwa threat kiasi cha kutisha kucheza nae kwanza anakabika na predictable sana.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hawaelewi hao wanamchukulia poa yule jamaaNi bora kucheza na psg isiyokuwa na neymar tutarudi hapa tukikutana nao huyu mwamba ni hatar sana bora hata mbappe unajua kabisa ana mbio lakin neymar anafanya vitu vingi sana uwanjan
Neymar hana hatari yoyote kuliko MbappeHuangalii mpira wewe NEYMAR hatari zaidi ya mbappe yule jamaa sio mchezo anatengeneza nafasi za hatari anaanzisha mashambulizi kutokea chini kabisa hadi kwenye back four zenu, anawahamisha uwanja anavyotaka yeye kulia kushoto yumo. Unamchukuliaje mtu wa namna hiyo
Dah, kama ni kweli Judge achukue huo mpunga fasta.Leeds are preparing a £25m bid for Daniel James.
Mkuu kwenye biashara pauni 8ml, ni hela ndefu.sijawahi kuona timu ya kipumbavu kama hii...
mfano huyo telles, tunashindwa nini kuongeza 8 kwenye kumi pauni milioni, ili ziwe pauni mil 18 tumchukue huyo beki ambaye tunamhitaji
dortmund wanataka 100, wewe una 95, una ona shida gani kuongeza 5 ili umchukue mchezaji unayemtaka...mambo ya kishenzi sana
Sure.Threat pekee PSG ni Mbappe tu huyo Neymar hana lolote.
Mchezaji anayeweza kukosa clear chance tano hawezi kuwa threat kwa timu yoyote
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Neymar siyo threat kuliko Mbappe.Msimfananishe neymar na mbappe kwa wakati huu mimi timu yangu nitamchagua neymar kuliko mbappe..neymar kamzidi mbappe kwenye criteria nyingi jamaa ni mbunifu, versatile na ana skills nyingi kuliko mbappe , neymar ni playmaker mzuri sana katika dunia ya sasa nawahakikishia hilo na ni clinical finisher mzuri pia..attacking style yake ni bora zaidi hata ya huyo mbappe mnaomfananisha naye kwani neymar anauwezo mkubwa wa kuattack kutokea pande yeyote ya uwanja..
Angalieni vizuri na kwa utulivu jamaa anavyocheza then mtagundua vitu vingi ni hatari ukikutana nae huyu mtu anasumbua sana
Mkuu kila mtu anajua Neymar ni fundi ila linapokuja suala la kubeba timu huwezi kusema Neymar ni zaidi ya mbappe, mpira unachezwa hadharani kila mtu anaona mkuu.Msimfananishe neymar na mbappe kwa wakati huu mimi timu yangu nitamchagua neymar kuliko mbappe..neymar kamzidi mbappe kwenye criteria nyingi jamaa ni mbunifu, versatile na ana skills nyingi kuliko mbappe , neymar ni playmaker mzuri sana katika dunia ya sasa nawahakikishia hilo na ni clinical finisher mzuri pia..attacking style yake ni bora zaidi hata ya huyo mbappe mnaomfananisha naye kwani neymar anauwezo mkubwa wa kuattack kutokea pande yeyote ya uwanja..
Angalieni vizuri na kwa utulivu jamaa anavyocheza then mtagundua vitu vingi ni hatari ukikutana nae huyu mtu anasumbua sana
Watu wapo kimahaba zaidi lkn ukweli ni kwamba naogopa sana kukutana na mbappe kuliko Neymar, hatishi km kylian weee.
Mkuu...mbappe ndy tishio zaidi..neyma mbwembwe tu..Mkuu kila mtu anajua Neymar ni fundi ila linapokuja suala la kubeba timu huwezi kusema Neymar ni zaidi ya mbappe, mpira unachezwa hadharani kila mtu anaona mkuu.