Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★Shida wanaangalia kwenye makosa tu ndio wnasema kuna jamaa mwingine ety kasema Jana Dalot wako alikuwa hakimbii kazidiwa mbio na MaTa★
Mimi naamini Diogo Dalot akicheza right wing anafanya vizuri kuliko kwenye defence.

After all anatumia miguu yote left na right hivyo anaweza kufunga kwenye near post na far post.
 
Tunajua hilo..ila yeye ndo anayetokea kulia na amefanya vizuri kwa kiasi chake..na tusiposajili am sure yeye ndo ataendelea kuwa first choice kwenye hilo eneo kwenye mechi nyingi.
Winger anatakiwa awe na speed,aweze kumiliki mpira,kupiga chenga kutengeneza nafasi na kufunga katika vyote Greenwood ni mzuri kwenye kufunga magoli Tu mengi ya United yanatokea upande wa kushoto

Kocha unatakiwa kumchezesha mchezaji kutokana na strength zake
 
Sasa si ndo maana tunasema tunamtaka mtu kama Sancho ndo aje acheze hilo eneo..otherwise kwa kikosi tulichonacho Greenwood ataendelea kutokea hukohuko kulia kama first choice
 
Mechi hizo OLe akipanga hiki kikosi asubuh tuu tunaongoza hilo group.

De gea

AWB. Maguire. Upemecano. Telles.

Bruno Matic Vdb

Sancho. Cavan Martial


Subs: Henderson, Baily, Shaw, Pogba, Fred, Rashford, Greenwood

NB: niko naota.
Hakika mkuu...
 
Arsenal Tuna hati miliki ya FA , kwaio tunabeba tena...... pia tunabeba hii carabao.... Ligi tunamuachia Liverpool... Uefa watabeba wababe kama Bayern/Madrid.......

NINYI CHELSEA, MAN CITY NA MAN U MUENDELEE KUJIANDAA NA MSIMU UJAO WA 2021/2022.


#COYG
#COYG
 
★Jambo jema kama itafanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…