wametuma offer kwa mara ya pili,
beki 3 wa kiwango cha juu tunamuhitaji ila kukosekana kwake si pigo kubwa (tunaweza kuangazia eneo jengine)
kwa Ole kusajili right back mwengine ni sawa na kujitukana mwenyewe, dunia hii ni wanadamu wawili tu ndio wenye jeuri ya kufanya hivyo (mourinho na guardiola)