Hii ndio mara ya kwanza kuona. Mpira umekwisha kisha referee anaamuru mpira urudi uwanjani kwa ajili ya kutoa adhabu ambayo ilipaswa kutolewa kabla ya kupuliza kipyenga kuashiria mpira umeisha.
Brighton wame hit post mara tano. Walicheza vizuri na kwa uwelewano mzuri. Brighton walistahili ushindi lakini bahati haikuwa upande wao. Yote kwa yote hongereni kwa alama 3 japo ni za jasho haswa.
Hapa hata aje sancho kwa huyu kocha hamna kitu hana mbinu kama hatuna wachezaj basi mech kama hizi tulitakiwa kuzitawala sasa brighton anatushika wakat wachezaj wao kawaida sana yule dogo wa chelsea alieuzwa lamptey thamani yake ni ndogo sana lakin mbinu za mwalimu zinamfanya kuwa bora don van de beek tunampoteza kama pogba