Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hapo kwenye coaching staff umehit penyewe.

Umemsahau msela wake na OLE, anaitwa Mark Dempsey.
Huyu walikuwa nae Molde. Wakaenda wote Cardiff city, then kaja nae Man U.
 
Hapo kwenye coaching staff umehit penyewe.

Umemsahau msela wake na OLE, anaitwa Mark Dempsey.
Huyu walikuwa nae Molde. Wakaenda wote Cardiff city, then kaja nae Man U.
Kuna watu tunaposema kocha wetu hatufai bado hatujawa convince wanaona tumekuwa tukiongea pasipo facts, ukweli ni kwamba japo Ed na Glazers wake wanazingua ila our manager Mr Ole a.k.a baby face hana uwezo wa kufundisha man u kwa vigezo vichache tu vifuatavyo:

1. Timu haina fitness kabisa, ukiangalia mechi na palace wageni walionekana wapo physically fit kuliko cc.

2. Hana mbinu mbadala, ukimshika kwenye mfumo alioingia nao ushamaliza mchezo.

3. Flopping za wachezaji wageni wanapokuja kujoin tm yetu, mfano Daniel James alitoka na moto uko alipotoka kuja kwetu kiwango kimeisha, Maguire hvyo hvyo alipofika alikuwa moto wa kuotea mbali na kiukweli alisaidia hata kupunguza magoli but alipozoea tu mazoezi ya Ole kwisha habari yake, Bruno pia nae ni muhanga mkubwa wa tatizo hili alipofika alikuwa na mbinu bora alizotoka nazo Porto but alipozoea mazoezi ya utd kwisha habari yake, pia hata Bissaka n.k

4. Kuchelewa kufanya sub, utakuta mchezaji anafanya hovyo mpk mm nilie buza huku namuona ila kocha hafanyi sub kiasi cha kwamb mpk mchezaji anaighalimu timu ndo anamtoa.

5. Kocha co mkali, hana motisha kwa wachezaji, akikaa amekaa n.k,....

Yapo mengi ila niishie tu kusema tusitegemee makubwa toka kwa Ole.
 
AWB,Fernandes,Maguire,James walianza poa sana,,lakini tukiwaangalia kadri siku zinavyokwenda wanazidi kupoteana..Kuna kitu Ole na Staff wenzake wanazingua kwenye training for sure..

Sema let's give it a time kidogo,tuone hawa wachezaji wataendeleaje
 
Ole ana shida sana
 
The best 007,​

Kwa upande wa kocha ni kweli Ole anafahamika ni kocha wa kawaida sana ila akipewa nafasi labda anaweza kufanya​
kitu. Sioni haja ya kumuondoa kwa sasa tumefukuza sana makocha hakuna haja ya haraka ila inapaswa aaminiwe tu​
hata Alex Ferguson miaka yake ya mwanzo alianza vibaya.​

Pendekezo langu mimi kwa sasa mtu anayepaswa kuondoka pale Manchester United ni chief strategist ambaye ni ED​
yeye ndiye mtu wa mwisho katika timu mwenye nguvu aliyepewa nafasi kiushikaji na familia ya Glazer as our football​
executive (Vice chairman).​

Nafasi ya ED kwa timu kubwa inahitaji mtu mwenye akili sana na mtu wa mipango ambaye yeye mwenyewe ana uwezo​
hata wa ku-detect matatizo ya kiufundi na anajua nini maana ya kuwapa nyenzo za msingi (kama kusajili) kwa wakati
benchi la ufundi ili wawe timely na programs zao za kiufundi na anaweza kwenda mbali zaidi ile nafasi ya head coach​
unam-promote kocha wako to manager na yeye anakuwa na final say nani aje na nani asije (mf. Harry Maguire lilikuwa ni​
pending file mezani kwa ED alihitajika na Jose Mourinho, Ole aliletewa tu sidhani kama alikuwa na kauli hapa) na hata​
scouting approach model inapaswa kumuhusisha kocha moja kwa moja yaani na yeye anakuwa anapata progress report​
from scouting teams direct globally.​

Hii nafasi ya ED akija mtu mpya inapaswa assignment yake ya kwanza mezani ni ku-restructure benchi la ufundi, anaweza​
kumpa Ole msimu mmoja wa 21/22 tu akishindwa kubeba EPL, he’s out! For meantime, analeta kocha mpya msaidizi plus​
first coaches wapya hawa waliopo wakiongozwa na Mike Phelan wote mikataba yao unasitisha. Halafu kitu cha mwisho​
unafanya salary capping (or ceiling) policy ili timu iweze ku-accommodate vipaji vingi kwa wakati mmoja bila kusumbuliwa​
na kila mtu kutaka mshahara mkubwa kwa mf. unaweka sisi mwisho $ 200k/weekly hutaki toka kila anaye-renew mkataba​
hii sera inamuhusu. Sio kuwa na mshahara wa mtu mmoja kama David ($ 350k/weekly) unaweza kulipa akina Bruno watatu.​
 
Leo bailly ndani ya nyumba mazee, tena ole kasema walikuwa wakisubiria hali ya beki huyo kuwa fit. Na anaamini combination ya maguire na bailly ni moto wa kuotea mbali, ila majeruhi ya mara kwa mara yalikuwa yanamsotesha kiwango chake awapo dimbani.
Tena kasema lindelof na maguire ni defence iliyofanya vizuri msimu uliopita, ila hakukuwa na consistency.
Kwa maana hiyo ole na benchi lake la ufundi wanaona zaidi ya sisi mashabiki tunayoyaona mapungufu ya wachezaji hawa, basi tutegemee safisha safisha ya kimya kimya na yenye akili zaidi kabla ya tarehe 6 october. Tupo hapa
 
STARTING XI vs Brighton

De Gea
AWB__LINDELOF__MAGUIRE__SHAW
MATIC__POGBA
GREENWOOD__BRUNO__RASHFORD
MARTIAL
 
HAKUNA KIPYA HAPA KWA OGS..PALE KWA RASHFORD ALITAKIWA LINGARD AANZE (NI MAMBANAJI SANA ANAZUNGUKA UWANJA MZIMA NA HACHOKI) KUSHINDA HII MECHI ITATEGEMEA SANA UBOVU WA MPINZANI, HATUNA UBORA UNAOTAKIWA KWA KIKOSI HIKI.
NB;POGBA ANGEPUMZISHWA TU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…