★Man of the Match kwangu ni ERIC BAILLY jamaa kanifurahisha sana hata kama tusinge shinda ningelala na furaha tu
Cha ajabu na chakushangaza na mtaniambia mechi ijayo ataanza Victor Lindelof na Eric Bailly atakuwa nje hapo ndio utajua ngozi nyeusi haina Bahati
★
View attachment 1577739