Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Umri co shida mkuu angalia mbn Bayern ina wavulana wengi na wako vizuri.

Kuhusu ubora angalia Ginabry wa Bayern na wa Arsenal, angalia Muller wa Pep na wa ss, angalia Alcantara wa barca na yule wa Bayern ni tofauti kutokana na jinsi gani kocha anawatumia.

Mbn ajax ilikuwa na watoto wengi msimu uliopita na ikasumbua? Tatizo ni kocha tu na sio kitu kingine.
 
Toka tumetolewa na Sevilla kwa yaliyokuwa yanaendelea kwa wachezaji wa united nilitegemea wangeanza ligi vibaya.

Captain wa timu katoka jela kwa kupiga mtu na timu inaonekana kulichukulia poa tu wakati huyu mentally hayuko sawa sawa.

Greenwood katoka kugonga demu kambini unampeleka uwanjani kufanya nini wakati hayuko sawa sawa mentally.

Rashford katoka kwenye injury unampeleka uwanjani kufanya nini wakati hayuko vizuri physically.

Pogba katoka kwenye kuugua corona unampeleka uwanjani kufanya nini wakati corona inaweaken mwili?

Timu imefanya mazoezi siku tatu kabla ya mechi na Crystal Palace hivi ulitegemea kushinda mechi kama ile kwa Crystal Palace iliyofanya Preseason kwa wiki nne ?

Hata leo tunauwezekano mkubwa sana wa kufungwa na Brighton.
 
Hujanielewa hiyo point yangu kasome tena.
 
Hapa ss tumeelewana mkuu kwamba tatizo ni kocha kwamba hana mbinu uwanjani, anawachezaji wengi lkn anawatumia wachezaji ambao ni unfit, anashindwa ku control tabia za wachezaji, simply hatufai.
 
Napinga kwa nguvu zangu zote, mpaka povu lina nitoka.
Ole, anatolewa sadaka tu.
Tatizo lipo kwa Grazza family & Ed wood.
Ifike hatua tuseme ukweli tu, timu yetu tangu wakabidhiwe hawa Grazza family na upepo wa furaha kwa mashabiki ukapotelea hapo.
Kwamba unamhitaji Sancho kumfunga Crystal Palace? Smh.. Glazers na Ed wana matatizo yao ila kwa haya ya sasa Ole hakosi lawama!
 
Nimesoma maoni yenu wadau ila kwasasa pamoja na mapungufu ya ed woodward kwanza inapaswa OGS afukuzwe kazi, huyu kashindwa kuwapandisha viwango wachezaji tulionao, hana mbinu mbadala timu inapozidiwa, man utd haitaji world class player kuifunga crystal palace, man utd ni kubwa sana kwa OGS, kwanza hana maamuzi magumu, Last season De Gea kachoma sana kashindwa kumuweka benchi kwasababu ya jina,

Tunaitaji kocha ambaye Pogba au Rashford wakizingua wawekwe benchi, kocha mwenye sauti dressing room

Yule kocha wa Leeds anaitwa Marcelo Bielsa watu wanamchukulia poa ila bonge la kocha, very tectical,
Nina amini Bielsa ukimkabizi timu hii hii amtamini viwango vya wachezaj wetu vitakavyokua juu
 
Kwamba unamhitaji Sancho kumfunga Crystal Palace? Smh.. Glazers na Ed wana matatizo yao ila kwa haya ya sasa Ole hakosi lawama!
Fundi wa mpira Marcelo Bielsa yupo Leeds kule anapauka tu, alafu kuna kilaza fulani kisa ni Legends anavumiliwa pale OT

Bora Evra juzi katoa ya moyoni, kasema ma'legends wanaogopa kusema uozo wa bodi na kocha kwasababu wanamatumaini kuja kuajiriwa uko mbeleni

Jaribu kufikiri cha LVG na Mourinho, kina Neville, Rio na Scholes etc mapovu yalikua yanawatoka mpaka kariakoo
 
Ila mpira huu bwana we acha tuu! Mourino kumtaka Lingard mwenye goli 1 akiwa na umri wa miaka 27 msimu ulioisha EPL,,,, ila hana mpango na delle alli aliyemaliza na Magoli 8 + 4 assist . Sijui mashabiki wanajisikia kuletewa kilaza na kuondoa kipanga
Kama wameshindwa kumsajili Sancho wamsajili Delle Alli
 
★Telegraph | United have an interest in Dayot Upamecano but United need to offload players first. Jones and Rojo are proving hard to sell.

Hawa akina JONES na ROJO wameenda kwa mganga hakuna team hata moja ilowaona
wanafaa kweli dawa zipo hata kagera sugar haijaona kweli




manutd |
 
Labda kuwapa bure hata timu za daraja la sita sidhani kama zinaweza kumsajili Phil Jones
 
★Hawa nao kama hawataki kutuuzia waseme sio kila siku kututishia mtu mmoja kama bila yeye hatutacheza ningekuwa mimi Ed ningekuwa nishaghaili maswala yakubembelezana huwa siyaelewi kabisa



manutd
 
★Liverpool signed Thiago and Jota.

Tottenham signed Bale and Reguilon.


Meanwhile, United...


#GrazzersOUT
#EdwoodwardOUT
#MattJudgeOUT

NOTE: ANOTHER DEPRESSING SEASON GOING TO START TUJIANDAE KI AKILI


#GGMU


@manutd
 
na hii ndo point mkuu
 
ukweli ndo huu tusiwe washabiki kukwepa ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…