Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu mimi kama umenichunguza siku hizi hapa JF maswali yote ya kipumbavu siyajibu. Nadhani huyo jamaa hilo swali aliniuliza mimi nkaona nimpotezee tu
Mkuu niseme ukweli sinaga umbea kuingia kwenye forum za timu zao hawa majamaa. Wanakuja humu wanatutia kinyaa tu. Wanajua man utd ni timu kubwa wanalazimisha iwe kama asernal
 
Wakuu naombeni rradhi
Tabia ya kumzungumzia lukaku inanikera Sana.

Sioni sababu ya habari za mchezaji ambaye ashasepa zake. Wangapi wameondoka Herrera,na wengine wengine tu wazuri walikuja na kuondoka who is lukaku?

Nawahikikishia pogba akiondoka nitakuwa na amani
 
Romelu Lukaku jina kubwaaaa ww !!!!!unakasirika nn sasa?? wakati mlivyokuwa mnamsema vibaya mnadhan alikuwa anafurahia???

Sása ni muda wa kuwakeraaaa
 
Ni kweli mkuu. Na kocha anaejitambua huwa anakuwa na nguvu za kuamua aonavyo yeye inafaa.

Bodi ya arsenal walishakubaliana AMN auzwe ila kocha akasema laa. Lukaku kumuondoa ilikuwa ni kosa kubwa sana
Arsenal kushinda game mbili tu mmekuwa washaurii wakuu wa Man united .!!!!?

Oneni hata aibu basi tunawazidi kila kitu mtatushauri nini nyie ???

 
Yaani hiki kikosi ni bora kuliko alichokuwa nacho Ferguson msimu wake wa Mwisho ???

Duh ama kweli ukitaka kumuua mbwa unampa jina baya.
 
Hapa panaweza kuwa na ukweli. Kocha has to be ruthless, lazima kuwe na kauwoga flani hivi kutoka kwa wachezaji juu ya kocha
 
Arsenal kushinda game mbili tu mmekuwa washaurii wakuu wa Man united .!!!!?

Oneni hata aibu basi tunawazidi kila kitu mtatushauri nini nyie ???

Mkuu,

Sote tunagombania vikombe vitano each season namely

1. EPL
2. FA cup
3. Carabao cup
4. UEFA / EUROPA
5. Community Shield.

Hakuna zaidi ya hivyo ndugu, sasa mimi mwenzio nshatoka kimasomaso. Vimebaki vinne, jitathmini hebu hahahahahahah
 
Mimi kanishangaza kusema Ole ana kikosi bora kuliko cha Ferguson alichochukua nacho ubingwa mara ya mwisho.

Timu iliyokuwa na striker watano unaweza kuilinganisha na hii ya Ole ?
 
Mkuu,

Sote tunagombania vikombe vitano each season namely

1. EPL
2. FA cup
3. Carabao cup
4. UEFA / EUROPA
5. Community Shield.

Hakuna zaidi ya hivyo ndugu, sasa mimi mwenzio nshatoka kimasomaso. Vimebaki vinne, jitathmini hebu hahahahahahah
Arsenal hamna cha kuishauri Man united mkuu.

Tunakila kitu sana sana nyinyi ndiyo mnapaswa kuomba ushauri kutoka kwetu
 
Timu ilikuwa haifanyi mazoezi ile ndiyo maana hakukuwa na match fitness kwa wachezaji.

Hata leo nina wasiwasi kama tutashinda maana wachezaji ni kama vile wako maternity leave.
 
Vipi mlifanikiwa kuwanyonyoa majogoo ?
 
Yaani hiki kikosi ni bora kuliko alichokuwa nacho Ferguson msimu wake wa Mwisho ???

Duh ama kweli ukitaka kumuua mbwa unampa jina baya.
Mkuu ninachotaka kumaanisha hapa ni kwamba km Ferguson angelikuwa na kikosi cha ss pale Wembley wala asingeliishia kutetemeka.

Kikosi cha ss wala co kibovu km watu wanavyotaka kutuaminisha, kina mapungufu machache tu ambayo kocha alipaswa kuyafanyia kazi na kuweka muunganiko wa timu na akapata kikosi bora kabisa.
 
Punda kama Punda.. tafuteni kabisa wa kumuangushia jumba bovu baadae.... Mmekua kama Namungo tu

#COYG
 
Ulisema kikosi chake cha mwisho kilikuwa kibovu kuliko hiki au unahamisha goli ?
 
Hebu soma hiyo paragraph yako ya kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…