Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii mechi mlikuwa mnachezea goli 5 ila watoto wamekosa umakini.

Sio mbaya bado kuna mechi 37.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Haha huku tumemaliza salama na sasa tunapeleka msiba emirates, haha adui muombe njaa kwa kweli hakuna namnaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Leo mbona unakwenda kulala mapema hapana nawahi kuweka LUKU NILIAGIZWA OLESENDEKA HUYO
 
Sakho mamadou kanifichia washambuliaji wote uchwara wa manyumbu hiyo inaitwa "kupiga spana"...........yaan wale palace walikuwa wanapiga hata 5 sema hawako makin


Tafuten kocha manyumbu nyie maana inaonekana hata hamjui tatizo liko wap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…