Hiki kitasa kiaminiwe tafadhali kama Ole hana mpango wa kununua CB
£225 Milioni auSure mkuu, imeshafika £225Mjini mipango tu.
Hapana! Ni mamia.£225 Milioni au

★
Hiki kitasa kiaminiwe tafadhali kama Ole hana mpango wa kununua CB
Kwenye hawa mashabiki kuna ambaye yuko hai kweli?★TROW BACK THURSDAY (TBT) ya Leo tulichapa mtu Derby ya kwanza OT RAHA SAAANA.
...................ON THIS DAY...............:
In 1910, Man Utd beat ManCity 2-1 - this was the first Manchester derby played at Old Trafford.★View attachment 1572200

Labda wle watoto waloingia na MaMa zao kibabe wakiwa na miezi Mitatu mpaka mwaka 1 toka wazaliwe sunajua mama unakuta ni Dam Dam na Man U haambiriki nazani watakuwepo
★
Kwenye hawa mashabiki kuna ambaye yuko hai kweli?
Hii timu ni kama haijui kitu inataka.★Manchester United have made contact with Atalanta over the signing of 18-year old winger Amad Traoré.
Ole Gunnar Solskjaer's side see the forward as an alternative to Jadon Sancho.★View attachment 1572222
Wameshakubaliana na Totenham anarejea nyumbani Mungu ashukuriwe sana kwa kutuepusha na huu upuuzi wa Bale.Kwa tetesi za Gareth Bale ni bora iendelee kuwa porojo tu. Huyu mpuuzi aje kufanya nini Manchester United? Labda tumsajili aje kupanga koni mazoezini. Tunahitaji kusafisha nyumba kwa sasa Phil Jones, Chris Smalling, Andreas Pereira, Marcos Rojo na Jesse Lingard hawa wanapaswa watafutiwe timu za kucheza.
Hii timu ni kama haijui kitu inataka.
Hizi tetesi kama ni Media tu ndiyo zinavumisha haina shida ila kama ni timu kweli ndiyo inafanya haya inaonyesha ni jinsi gani hakuna mipango inayoeleweka.
Juzijuzi tu hapa walikuwa wanamtaka Brooks kama mbadala wa Sancho, leo tena wamekuja na mpya.
Kama United wameshindwa kumsajili Sancho ni heri waachane na kutafuta mbadala wake. Mwisho wa siku watafanya panic transfer itakayogharimu timu.
★Yani naona kama vile tuna tapa tapa kama hatuwezi cheza bila sanchoka maana kama tumecheza miaka yote hiyo ije iwe leo itugharimu watulize akili tutachukua dirisha lijalo mtu mwingine★
Kinachonikera katika hii timu, wanaogopa ku-spend £108M kwa mchezaji mmoja. Wakati huohuo bado hawataki kutumia hiyohiyo £108M kupata angalau wachezaji wawili kuimarisha kikosi na kumpa options nyingi kocha.★Yani naona kama vile tuna tapa tapa kama hatuwezi cheza bila sanchoka maana kama tumecheza miaka yote hiyo ije iwe leo itugharimu watulize akili tutachukua dirisha lijalo mtu mwingine★
Naunga mkono hoja yako.
Kwasasa ni bora twende na Green wood tu.
Nina imani dogo akipewa mechi za kutosha, mwakani hamna atakae kua na hamu na huyo jamaa (Sancho).
★
Kinachonikera katika hii timu, wanaogopa ku-spend £108M kwa mchezaji mmoja. Wakati huohuo bado hawataki kutumia hiyohiyo £108M kupata angalau wachezaji wawili kuimarisha kikosi na kumpa options nyingi kocha.
Wamefikia hatua wanasingizia Corona. Je, Aston Villa wao hawakupata janga hili? Tena timu ambayo unaizidi kimapato inakuzidi kwenye transfer window japokuwa wao wana-spend pesa nyingi kwa wachezaji wengi pia ila United nao walipaswa kuonyesha ukubwa wa timu.
Wamekalia kusema 'Trust the process' hakuna kitu ni ujinga tu unaofanyika, hakuna process zozote zinazofanyika United. Wamekalia kuimarisha eneo la kiungo kwa kuongeza another AM badala ya kutafuta DM. Sio transfer mbaya ila hii inadhihirisha ni jinsi gani United ina board mbovu kuwahi kutokea.
#GlazersOut #EdWoodwardOut
Katika hao wote me anayeniuma zaid ni Haaland ni km tulivyomkosa dinho.Sancho
Reguilonhapa bora
Thiago
Bellingham
Haaland
Upamecano
Dybala![]()