Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dalot yuko vzr mkuu cjui kwnn Ole asimpe mda, kuhusu lingard huyo tunahesabu ameshastaafu.
 
Transfer Guru Fabrizio Romano just confirmed on his Twitter what all United fans had heard already or were waiting to hear – Sergio Reguilon has been offered to the Red Devils.
The 23-year-old left-back, who is desired by many other top European clubs like Spurs, Napoli, Sevilla etc, is obviously looking for a home away from Real Madrid. Los Blancos would like a fee of €30 million for the Spanish youngster or could also send him out on loan again.
Reports yesterday stated that United had submitted an official bid for Reguilon and that Real Madrid would make a decision on his future in the coming week – Fabrizio Romano all but confirms the same.

Ila sijaingia huko Twitter kuona account yake. Na huyu dogo Mimi sina experience nae labda niingie YouTube
 
Ni wa kawaida tu kama Brandon William's
 
PTER,

Ile nafasi ya Luke Shaw inapaswa iwe- fixed tu. Luke amecheza misimu sita Manchester United, ktk mechi za ligi kuu 228 (38 * 6) alizopaswa kucheza amecheza mechi 96 tu, ni sawa na 42% yaani ktk kila mechi 10 huyu jamaa anaweza kucheza mechi 4 tu, ni sawa na wewe uwe na mfanyakazi ktk kampuni yako ktk siku 5 za kazi yeye ana uwezo wa kuja siku 2 tu siku zingine zote 3 anaumwa halafu analamba mshahara ule ule kama mtu anayefika siku zote 5.

Mshahara anaopokea kwa wiki ni zaidi ya pound 150k, unafahamu mabeki wangapi wa kushoto tunaoweza kuwapata kwa pungufu ya huu mshahara? na wana uwezo kumzidi huyu chalii. Kwangu mimi as long as tunapata beki wa kushoto mwenye uwezo wa kucheza atleast zaidi ya mechi 8 kati ya 10 na mwenye uwezo hata kwa kiwango kidogo kumzidi Luke aje tu. Huyu Luke analipwa pesa ya bure tu ni injury prone.
 
 
Yaani nakereka sana kuona bado tupo na kina;

✓Rojo
✓Jones
✓Lingard
✓Perreira
✓Smalling

Ole ondoa hawa watu
 
I just don't trust Shaw to perform reliably over a long period without getting injured, and we're crying out for squad depth at LB which is why this transfer makes simply too much sense.

"Reguillon"

Brandon na Laird watapambana na AWB
 
Aaah, United tunataka alimradi aletwe mtu kwenye eneo tunalotaka no matter kiwango. Watupe Marcelo

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Heri kumkuza Brandon William's kuliko huyo Reguillon kwanza kashindwa kupata namba Real Madrid atapata namba kwenye timu yenye pressure kubwa kama united?

Kumsajili ni gambling tu kama gambling zingine hana tofauti yoyote na Brandoni unaweza sema Brandon ni mzuri zaidi defensively.
 
Replacement ya Luke Shaw ni Brandon William's anachopaswa kufanya training kwenye crossing na kudefend vizuri timu inapokuwa na pressure kubwa

Brandon kwenye mechi ngumu ameshaprove kuwa yuko vizuri.

Alimtia mfukoni Mo Salah, akamtia mfuko Jesus Navas, akamtia mfukoni Neil Maupay na mechi chache sana kafanya makosa yaliyosababisha tufungwe.

Anahitaji kuaminiwa he is good may be mimi ni shabiki wake tu kwa mujibu wa Avatr yangu
 
Mkuu hujuwi kama mchezaji wa bench kwa timu kama real Madrid ,,,Manchester anacheza first eleven?tena hakuna wa kumweka benchi?
Madrid ni timu ya wachezaji nyota,,sio wachezaji wa hovyo hovyo,,
Yule Dogo reguilon yupo powa sn,,
Siku zote ukiona mtu yupo Madrid elewa ana jambo lake,,sio mchezaji wa mchezo mchezo..
 
Nakubishia. Usiichukulie man utd ki spot hivyo. Machezaji mengi hasa makinda ni magarasa pale madrid, kinachowasaidia madrid ni kocha ambaye ana ubunifu na hesabu kali. Zizzou muone hivyo hivyo, bonge la kocha yule jamaa
 
Nakubishia. Usiichukulie man utd ki spot hivyo. Machezaji mengi hasa makinda ni magarasa pale madrid, kinachowasaidia madrid ni kocha ambaye ana ubunifu na hesabu kali. Zizzou muone hivyo hivyo, bonge la kocha yule jamaa
Mkuu hyo Dogo ni mkali sn,na alikuwa kikwazo kikubwa ktk defence ya Valencia,,, tulipokutana nao nusu fainal europa,,
Kuhusu wachezaji wa real Madrid,, wale wenzetu wanaangalia sana vipaji vya makinda na kuwanunuwa,,huyo Dogo nimemuona,,yupo vzr kuliko huyo William,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…