The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Sawa lkn tunahitaji wachezaji wasio na masihara wanapokuwa uwanjani huyu Martial na trashford wana makosa mengi uwanjani so tunahitaji namba zao zifanyiwe replacement haraka zen hii mizigo iwe back up.Hatuwezi kumtegemea no 9 tu ndo atupe kombe..Pia wanaocheza RW,LW wanatakiwa watupie pia goli za kutosha..Mbona Liverpool wameshinda kombe huku Firminho akiwa kazidiwa goli na Martial?
Point hapa ni kuwa tunahitaji Front three yenye makali kote kote na sio kupoint eneo moja tu,maana huu mpira wa Ole sio wa kushambulia kwa kutumia Target man
Kocha anawaendekeza tuu. Anapaswa kuwabwatukia na kuwapiga benchiSawa lkn tunahitaji wachezaji wasio na masihara wanapokuwa uwanjani huyu Martial na trashford wana makosa mengi uwanjani so tunahitaji namba zao zifanyiwe replacement haraka zen hii mizigo iwe back up.
Tatizo kule benchi ndo hovyo kabisa, unatoa trashford aingie nani Pereira au lingard? Ndo mana mm nkiona wachezaji classic km Alcantara wanatakiwa basi waje tu cz man co pana bado, eti mtu anakwambia Alcantara wa nn wkt kuna viungo wengi, au utasikia Sancho wa nn wkt tayari wapo wachezaji wengi nafasi yake au Grealish wa nn? duuhh ss hao wengi wenyewe wako poa kupambana na matimu km Bayern? Inabd waje tu cc bado tunahitaji kuongeza watu zaidi ikibidi namba moja iwe na mafundi wa3 zen wapuuzi km kina lingard offload cz wanakula mishahara ya bure pale cc inatuuma mana walipaji ndo cc wenyewe mashabiki.Kocha anawaendekeza tuu. Anapaswa kuwabwatukia na kuwapiga benchi
Tusajili kuongeza ushindani and that's all..watakuwa wanacheza based on their forms...Martial tokea alivyorudi kutoka kwenye injury amejitahidi sanaSawa lkn tunahitaji wachezaji wasio na masihara wanapokuwa uwanjani huyu Martial na trashford wana makosa mengi uwanjani so tunahitaji namba zao zifanyiwe replacement haraka zen hii mizigo iwe back up.
Kwa wachezaji waliopo kikosini au nipewe na nafasi ya kusajili?Tusajili kuongeza ushindani and that's all..watakuwa wanacheza based on their forms...
Mkuu nikikuambia urecommend ni jinsi gani unataka pale mbele pawe utakuwa na jibu gani?
Kusajili..wewe si huwaoni Rashford na Martial kama starterKwa wachezaji waliopo kikosini au nipewe na nafasi ya kusajili?
Ni akina nani hao?Teyari Wawili , bado wengine wawili au ikiwezakana watatu
View attachment 1557283
View attachment 1557290
Henderson hajasajiliwa..ilikuwa ni mali yetuTeyari Wawili , bado wengine wawili au ikiwezakana watatu
View attachment 1557283
View attachment 1557290
Mkuu uko Sahihi, Pogba ni cheza very talented na anajua sana kuzidi DB na Fernandez, kama AKIAMU kucheza mpira.fuentte,
Naamini labda ulikuwa umetoka usingizini uliposema tumuuze Paul Pogba endapo akija Thiago. Hapa umeteleza tena sio kidogo Jombaa, sizungumzi labda kwa mahaba pale Uingereza ni viungo wawili tu, Kevin De Bruyne na Bruno Fernandes pekee wana uwezo wa kumkaribia Paul akiamua kucheza mpira seriously.
Usifanye mzaha na Paul, yupo very talented almost 10 times ya huyo Thiago regardless ya majukumu wafanyayo uwanjani. Kitu pekee ambacho watu wengi hatukipendi kutoka kwa Paul ana behavioral inconsistency, ni mtu mwenye ushawishi hasi kwa wenzie ktk vyumba vya kubadilishia nguo hasa hasa akiwa kachukizwa labda na benchi la ufundi au mashabiki au yule wakala wake mwenye tamaa, Mino Raiola.
Kumuuza Paul na kumleta Thiago ni sawa na PSG wamuuze Kylian Mbappe halafu wamlete Jamie Vardy. Tunahitaji tuwe na world class wengi na sio kupunguza, Paul auzwe pindi akianza tabia zake za hovyo ila sio kwa sababu ya kiwango.
Namba 9 imeonekana kuwa na shida sana mkuu,nafasi nyingi zinapotea kizembezembe tu. Wachezaji wetu Wa pale mbele utadhani wapo kwa ajili ya mechi ndogo ndogo tu hasa mshambuliaji Wa katiHatuwezi kumtegemea no 9 tu ndo atupe kombe..Pia wanaocheza RW,LW wanatakiwa watupie pia goli za kutosha..Mbona Liverpool wameshinda kombe huku Firminho akiwa kazidiwa goli na Martial?
Point hapa ni kuwa tunahitaji Front three yenye makali kote kote na sio kupoint eneo moja tu,maana huu mpira wa Ole sio wa kushambulia kwa kutumia Target man
Ila kweli jamaa wanapoteza chances nyingi tena clear chances, ile game ya Sevilla ni mfano wa karibuniNamba 9 imeonekana kuwa na shida sana mkuu,nafasi nyingi zinapotea kizembezembe tu. Wachezaji wetu Wa pale mbele utadhani wapo kwa ajili ya mechi ndogo ndogo tu hasa mshambuliaji Wa kati
Tia Cavani kati pale, tia VDB huku pembeni pia hata Grealish sajili japo wengi wanamchukulia poa najua kwasabu anacheza na Sammata ndivyo WaTz tulivyo but Grealish huwezi mfananisha na wapuuzi wengi pale utd na kwasabu atakutana na mafundi zaidi yake lazima atachange mpira wake wa anao anao,Kusajili..wewe si huwaoni Rashford na Martial kama starter
Hapo martial amekaa kaaje bench aisee?Tia Cavani kati pale, tia VDB huku pembeni pia hata Grealish sajili japo wengi wanamchukulia poa najua kwasabu anacheza na Sammata ndivyo WaTz tulivyo but Grealish huwezi mfananisha na wapuuzi wengi pale utd na kwasabu atakutana na mafundi zaidi yake lazima atachange mpira wake wa anao anao,
kikosi kiwe
1. De gea
2. AWB
3. Shaw (apatikane beki wa kum back up huyu)
4. Upermecano
5. Maguire
6. Matic
7. Sancho
8. Bruno
9. Cavani
10. Pogba
11. VDB
Benchi:
Grealish, Fred, Mctomminay, Martial, Rashford, Greenwood, Bailly, Williams n.k
Hapo kwenye first eleven utaona ni wachezaji wa3 tu ambao hatujawasajili ukiongezea na Grealish utaona kwamba ni wachezaji wa4 tu ambao nitaongezea hapo na unaweza kuona upana wa kikosi hapo.
Mkuu Roy Keane aliwahi kusema kwamba tusitarajie makubwa toka kwa Martial, kuna kitu alimaanisha na nahisi mm nilimuelewa sn cz aliongea yale yale niliyokuwa nawaambia watu.Hapo martial amekaa kaaje bench aisee?
Kimsingi suala la kufunga magoli kwa modern football ni la kila mchezaji uwanjani.Hatuwezi kumtegemea no 9 tu ndo atupe kombe..Pia wanaocheza RW,LW wanatakiwa watupie pia goli za kutosha..Mbona Liverpool wameshinda kombe huku Firminho akiwa kazidiwa goli na Martial?
Point hapa ni kuwa tunahitaji Front three yenye makali kote kote na sio kupoint eneo moja tu,maana huu mpira wa Ole sio wa kushambulia kwa kutumia Target man
Sio waspend pesa bure mkuu,,Mkuu unataka wenzio wa-spend tuu.
Kimsingi suala la kufunga magoli kwa modern football ni la kila mchezaji uwanjani.
Kuna mechi Liverpool tatu mfululizo Van Djik alifunga wakachukua points.
Trent na Roberson walifunga mechi nyingi kuipa Liverpool ushindi.
Hata safu yetu ya Ushambuliaji haikufanya vibaya sana na ukizingatia wote walikuwa affected na injury kwa muda mrefu.
Tulimkosa Martial kuanzia mwezi August mpaka December.
Baadae tukamkosa Rashford kuanzia January mpaka June.
Tulimkosa Pogba kuanzia August mpaka September then akaumia tena mpaka June.
Kipindi chote hicho tulikuwa tunasuasua sana kwenye kufunga magoli kutokana na kuwakosa watu wetu muhimu.
Kwa sababu sasa hivi tunadepth kwenye midfield yetu na tuna wachezaji watatu wanaweza kufunga tutakuwa na uwiano mzuri sana wa kupata magoli kutoka idara tofauti za timu yetu.
Yes tunahitaji Striker kwajili ya kutumia tunapoamua kubadili mfumo wa kucheza