Unataka upewe raha?kilichonikera Mimi ni kuiweka Arsenal na takataka cheltyako,Mbona umepanick na unataka kupasuka na kulia utafikiri ww ndio mmiliki wa arsenal8 au huamini kuona Kikosi chenu ni sawa na thamani anayouzwa messi. Wekeni sokoni wachezaji wote 30 wa Arsenal uone kama itazidi hata 500M Euro,,,,. Yaani na chenji zitabaki.
Mm nilikuwa sijui kama kuna sentensi zinawafanya mpasuke kabisa😅😅😂😂😂😂😅😅
Je Pepe thamani yake alichotoa Arsenal ana utofauti gani na Greenwood under 19Unataka upewe raha?kilichonikera Mimi ni kuiweka Arsenal na takataka cheltyako,
Kwani wewe nyumbu una thamani gani?maana hao kina halima gwaya mlipigwa tu ng'ombe nyie
Acha kumlinganisha Greenwood na ushubwada..Greenwood ana goli 17Je Pepe thamani yake alichotoa Arsenal ana utofauti gani na Greenwood under 19
Ha ha ha hapa inaweza ikaanza biashara haramu kati ya maafisa watakaoshughulika na hizo grade na mawakala Wa wachezajiNapendekeza UEFA iunde chombo cha kusimamia hizi bei yn wawe wana wa rank wachezaji na gharama zao yn wafanye hv
Grade A (£91mil -£100mil)
Grade B (£81mil - £90mil)
Grade C (£71mil - £80mil)
Grade D (£61mil - £70mil)
Grade E (£51mil - £60mil)
Grade F (£41mil - £50mil)
Grade G (£31mil - £40mil)
Grade H (£21mil - £30mil)
Grade I (£11mil - £20mil)
Grade J (£1mil - £10mil)
Na hapo wawe wana update viwango (ranks) vya wachezaji mara kwa mara hii pia itasaidia hata ktk kumpata mshindi halisi wa tunzo km za ligi mpk za kidunia na co mchezaji anang'ara mcm mmoja huyoo anabeba ballon d'or, lkn pia itasaidia kulinda soko la wachezaji linalokwenda kuharibika na kwenda nje ya uhalisia.
Lkn pia itasaidia kuwabana mawakala wenye tamaa zilizo pitiliza cz hao ndiyo wanaoharibu mpira kwa kuweka ma price tag yasiyo na msingi matokeo yake mchezaji anacheza kwa pressure kubwa cz akifikiria price aliyonunuliwa haimstahili kabisa mwisho wake hatupati ladha kamili ya soka cz pesa inazd kushika hatamu.
Hii pia itasaidia kumpeleka mchezaji tm anayotaka, mfano mchezaji wa grade A anatakiwa na tm lukuki but price yake ishawekwa hadharani kitakachobaki hapo ni mchezaji kuchagua tm anayotaka so hapo itabd tm zngne ziboreshe viwango ili kuvutia wachezaji.
Hii imetoka moyoniMkuu kama hiyo avatar ndio picha yako aiseeeeh,naamini kuna mahala patakuwa panawasha na panahitaji kukunwa na kitu kigumu,
Acha kuidharaulisha Arsenal ,ungekuwa karibu ungechezea nako
Ole is on the wheel mkuuUsajili (0)
Beki za kushoto (majeruhi)
Bissaka (atakaa quarantine wiki 2)
Pogba (ana maambukizi ya virusi vya Corona)
Rashford (anahitaji muda wa kupumzika kutokana na jeraha lake la ankle)
Maguire (Wagiriki bado wamemganda)
**Another long season incoming.......
Akili zitawakaa vizuri sasa.Ole is on the wheel mkuu
Uyu Arse8 achananaye timu yake ishajifia. Ila siyo kwa Chelsea, Arse8 inaingia mara tatu kimapato kwa Chelsea, Spurs mara tano, Liverpool mara tatu.. aliyetupita kidogo ji Man u ata Man city anaingia mara mbili kwa Chelsea.Mbona umepanick na unataka kupasuka na kulia utafikiri ww ndio mmiliki wa arsenal8 au huamini kuona Kikosi chenu ni sawa na thamani anayouzwa messi. Wekeni sokoni wachezaji wote 30 wa Arsenal uone kama itazidi hata 500M Euro,,,,. Yaani na chenji zitabaki.
Mm nilikuwa sijui kama kuna sentensi zinawafanya mpasuke kabisa
Huu ni ukweli kabisa, unanunua timu nzima ya Arse8 na benchi la ufundi pamoja na uwanja wao.Hiyo Release Clause ya 700M paund ni kubwa na inauwezo wa kununua kikosi kizima cha WACHEZAJI 30 wa Arsenal,, ila bado kuna shabiki fulani wa arsenal na chelsea haamini , anaona kama vile 700M pauni ni ela ya kitoto. Badala ya apige mahesabu aone ukweli
Naona ushajitia kidole, unakuja kutunukisha, sio.?POLISI UNITED
Kwani msimu ujao VAR haitatumika?Imagine Nyumbu without VAR
Pepe umeshasahau alichowafanya pale emirates kwa dakika 30 akatoka zake?Je Pepe thamani yake alichotoa Arsenal ana utofauti gani na Greenwood under 19