Kwani wewe hujui kuna mashabiki wa manyumbu wanaokesha kwenye jukwaa la chelsea na arse8Mashabiki wa Chelsea na arsenal wanashindwa kuwa kwenye jukwaa lao , muda wore wanashinda huku .
Jamani nendeni kwenu...
Dah yaani jamaa anamawazo na timu yake hadi anakosea +120+375=500
hii timu uliwahi kuishabikia udogoni kwako?Ni NYUMBU FC tu ndio wanaweza hiyo kitu
Aya nenda katingishe wowowo lako mbele hukoHahaaaa maswali mengine bhana, yaani mm nishabikie NYUMBU kweli. Ata ndotoni ama bahati mbaya siwezi kuishabikia NYUMBU
Hiyo thamani ya kante ni zamani ila hyo ya chillwel ni overrated hana thamani hyo, pia subiri muone lampard akiwajazia maingereza hapo.Never forget Leicester sold both Kante and Chilwell to Chelsea for the price they sold Maguire to Man United.View attachment 1549077
MAGEREZA FC
POLISI FC
VIBAKA FC
Timo Werner, Kovacici na Ziyech naona wote waingerezaHiyo thamani ya kante ni zamani ila hyo ya chillwel ni overrated hana thamani hyo, pia subiri muone lampard akiwajazia maingereza hapo.
Mkuu kama hiyo avatar ndio picha yako aiseeeeh,naamini kuna mahala patakuwa panawasha na panahitaji kukunwa na kitu kigumu,-
'Messi cannot leave now' - Former Barcelona president Gaspart slams planned exit
However, Gaspart - who was president of Barca between 2000 and 2003 - told Marca: "[Messi] cannot leave. He will have to leave in 2021.
"I have seen the contract and it is very clear. The clause ended in June and there is no going back.
"I prefer him to leave next year for zero than to go now for less than €700 million.
"The club is in charge here, not the player. The club paid the players. And this is not a matter of money, there is a signed contract and that's it."
Source ; Sky Sports
Sasa je ! Kuna timu yenye €700 million na yenye uwezo wa kutoa mshahara zaidi €650k kwa wiki kwa huyu mzee mwenye 33years????
Maana hiyo €700 million inanunua timu nzima Arsenal na Chelsea kwa ujumla 😀 😀
Je Werner,ziyech nao ni waingereza???Hiyo thamani ya kante ni zamani ila hyo ya chillwel ni overrated hana thamani hyo, pia subiri muone lampard akiwajazia maingereza hapo.
Ha ha ha ha ha ha
Amekosea sana kuiweka Chelsea na timu nyingine za ajabu ajabu. Pumbafu kabisa..Mkuu kama hiyo avatar ndio picha yako aiseeeeh,naamini kuna mahala patakuwa panawasha na panahitaji kukunwa na kitu kigumu,
Acha kuidharaulisha Arsenal ,ungekuwa karibu ungechezea nako
-
'Messi cannot leave now' - Former Barcelona president Gaspart slams planned exit
However, Gaspart - who was president of Barca between 2000 and 2003 - told Marca: "[Messi] cannot leave. He will have to leave in 2021.
"I have seen the contract and it is very clear. The clause ended in June and there is no going back.
"I prefer him to leave next year for zero than to go now for less than €700 million.
"The club is in charge here, not the player. The club paid the players. And this is not a matter of money, there is a signed contract and that's it."
Source ; Sky Sports
Sasa je ! Kuna timu yenye €700 million na yenye uwezo wa kutoa mshahara zaidi €650k kwa wiki kwa huyu mzee mwenye 33years????
Maana hiyo €700 million inanunua timu nzima Arsenal na Chelsea kwa ujumla 😀 😀
Takataka mwenyewe. Kwani kuna ubaya gani thamani ya messi kutokuwa sawa na jumla ya wachezaji wote wa Arsenal au Chelsea. Ww piga mahesabu utakuta ni hiyo Pauni 700Million , tena yawezekana chenji zikabaki😀😀 🤪 🤪Wewe ni takataka wa kupuuzwa. Unaifanisha Chelsea na vitu vy ajabu ajabu
Mbona umepanick na unataka kupasuka na kulia utafikiri ww ndio mmiliki wa arsenal8 au huamini kuona Kikosi chenu ni sawa na thamani anayouzwa messi. Wekeni sokoni wachezaji wote 30 wa Arsenal uone kama itazidi hata 500M Euro,,,,. Yaani na chenji zitabaki.Mkuu kama hiyo avatar ndio picha yako aiseeeeh,naamini kuna mahala patakuwa panawasha na panahitaji kukunwa na kitu kigumu,
Acha kuidharaulisha Arsenal ,ungekuwa karibu ungechezea nako