Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Worst thing about this whole transfer situation, Solskæer will be the one who pays the price.
 
Without any dought..na hawezi kujitokeza mapema kuanza kujilinda kwa kuwarushia vijembe vya chinichini kina Ed Woordward
Mashabiki watasau kwamba tatizo ni management chini ya ed woodward ila wataona kocha hafai.
 
Matumaini ya Manchester United kumsajili kiungo wa kati, David Brooks, 23, yameongezeka baada ya Bournemouth kukubali kuwa hawatamzuia mchezaji yeyote anayetaka kuondoka.(Sun on Sunday)
 
Acha tukawaangalie wanaume wakicheza

Tumeshindwa hata ku-manage kuingia Fainali moja kati ya tatu msimu huu..hovyo kabisa
 
Nasikia maguire amepigwa fine ya mil 5 euro .....uongozi wa man u wakasema watalipa milion 3 +lingard +phil Jones
 
Sell Herrera.

Sell DiMaria

Sell Lukaku

Phill Jones Stays.

Lingard Stays.

Hahahaha
Yaliyopita si ndwele ndugu lazima tm iendelee hao wameenda unataka kutuaminisha kwamba hakuna wengine? Je hao tng wakiwa man u walitupatia mafanikio gn zaidi ya europa tena tukicheza kwa kubahatisha bahatisha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…