Matumaini ya Manchester United kumsajili kiungo wa kati, David Brooks, 23, yameongezeka baada ya Bournemouth kukubali kuwa hawatamzuia mchezaji yeyote anayetaka kuondoka.(Sun on Sunday)
Yaliyopita si ndwele ndugu lazima tm iendelee hao wameenda unataka kutuaminisha kwamba hakuna wengine? Je hao tng wakiwa man u walitupatia mafanikio gn zaidi ya europa tena tukicheza kwa kubahatisha bahatisha tu.