Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★Matatizo yenu ya akili msiwe mnayapitishiamo kwenye ushabiki basi,maana naona watu wengi humu team tofauti wanapingaga ujinga ujinga tu kumbe ni Mapunguwani.
Mwisho tutaiomba Mod iwe inafanya BRAIN SCAN kabla mtu hajaanza ku QUOTE au KUPOST Kitu,mfano ulicho Post hapo umePost ili tukusaidie nini sisi??? nazani hatuna msaada wowote na Post yako chamsingi ungepeleka Kwenye Jukwaa la Timu pinzani ili mlijadili vizuri★
Nakwenda zangu


Kumbe sio Mimi tu ninaye muonaga
View attachment 1545114
 
Hii timu haijasajili mpaka sasa


Mwaka huu ni lazima mshuke daraja..

Usajili wenu wa beki unawasili baadae uingereza kutoka gerezani!

Nyumbuuuuuu!!!
 
Hii inshu ya Maguire siijui vizuri ila vyombo vya habari uingereza naona wamekausha . Hilo tukio angefanya mtu kama Pogba aisee wangelishikia bango mpaka angetamani kuhama nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…