Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nafikiri tumpe OLE MUDA..
Watu wanaweza kumlaumu kwa 7bu ya kuchelewa kufanya sub ila kwny benchi kuna watu gani wa kubadilisha matokeo!?

Kikosi chetu ni kibovu lakini pia kocha nae kuna vitu inabidi aImprove kwny mipango yake..

Kimsingi me naona tumletee wachezaji anaowataka alaf tuone atafanyaje..Akizingua tumfukuze.
 

Hivi kumbe na nyie mnajuaga kuwa bila penalty hamna matokeo yoyote ya kueleweka
 
Magalhaes close joining Arsenal
 
Kunawakati mpira una amriwa na bahati, Timu imecheza vizuri imepata nafasi nyingi ila bahati aikua kwa man u.sevilla wamecheza kiasi ila bahati ilikua upande wao.

Mmekojolewa maziwa meupe meupe mazito yanalendemka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…