Nimeanza kuangalia ligi ya uingereza mwaka 1995 nina uzoefu wakutosha kwa ninalosema, leo Man U walifanya kilakitu kinachotakiwa kupata ushindi ila imeshindikana, kilakitu uwanjani walifanya sahihi. Ukiona kwenye soka timu inashambulia mbaka defence yote ya mpinzani inapotea inaki one against one na kipa kama nafasi tatu na bado hamfungi ujue siku umekataa.