Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tulichojifunza ni kwamba timu yetu bado sana. OGS ni mzito mno kufanya sub. Zaidi ni kwamba EPL imeshuka sana.
Kumbuka last season epl ilibeba EUROPA na UEFA champions league.

Imeshuka vipi ?

Timu iko kwenye fatigue kubwa sana na mwalimu nae na lesz faire sana haoni haja ya kuwahimiza wachezaji wake cha kufanya.

Kuna wachezaji hawatimizi majukumu yao sawa sawa hasa Rashford kutokana na lesz faire attitude ya mwalimu.
 
Man Utd in major cup competitions this season:

EFL Cup: Semi-final
FA Cup: Semi-final
#UEL: Semi-final

A third consecutive trophy-less season.
 
Bruno pasi zote anazotoa hazifanyiwi kazi yaani kiukweli striking force inamuungasha. Ole hatakiwi kulaumiwa maana walioshindwa kutumia nafasi walikuwa uwanjani ,, huku kwenye sub hakuna fighter yoyote ambaye angeleta mabadiliko. Ndio maana pale front 3 mbele hakuna mwenye mpinzani hadi kocha anajiuliza aweke nani.
 
Sio bahati kubali tu kuwa kipa wa Sevilla alikuwa vizuri na forwad wenu miguu yao inakuwa na tatizo wanapoliona goli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…