Manchester United (Red Devils) | Special Thread

 
Nikiiangalia bayern naona timu yetu bado ina safari ndefu sana...nikiwaona beki wa pembeni wa bayern wanavyopiga krosi halafu nikiangalia krosi zetu za bissaka na william naona bado timu yetu ni ndogo kwa sasa
 
Kwanini David Gill hakutapeliwa?

Kwanini Madrid na Bayern wasitapeliwe?

Watu wanaohusika na recruitment ni viazi pale United.

Tuna pesa na Utajiri sawa na hizo timu mbili hapo juu, ila sisi kwenye usajili kwanini tupigwe tu?
Tukubali hilo kuwa ni viazi mkuu ...
Lakini labda wao hawapigwi kutokana na kuwa Uhitaji wao sio mkubwa sana (sisi kila nafasi inashida)
 
Tukubali hilo kuwa ni viazi mkuu ...
Lakini labda wao hawapigwi kutokana na kuwa Uhitaji wao sio mkubwa sana (sisi kila nafasi inashida)
Hatuna mahitaji makubwa sana(Price wise) ukiachana na Sancho,tunachohitaji ni kuimarisha kikosi,it's not like tunataka kutengeneza first eleven mpya..

Mfano Alcantara ameomba kuondoka Bayern na raisi wao kasema wanapokea offer..sasa kwa mchezaji kama huyu si rahisi tu kumpata..ugumu unatokea wapi?,,Liverpool wanataka kumchukua now
 
United km vile inaongozwa na Msola au Senso, wanazingua. Kocha naye bado si classic sana ingawaje amepewa fursa ya kufanya kazi bila presha.
 
Brother..kwa mtazamo wangu naona tunahitaji wachezaji wa kutosha sn..

Imagine bissaka akiumia nani mbadala wake anayeweza kucheza VIZURI!?

Bado tunahitaji STRIKER wa kumpa changamoto Tony martial

Tunahitaji RW

tunahitaji CB mzuri mwenye speed

Tunahitaji CM au CAM ambaye ni world class wakusaidia na kina POGBA..
Fred na Mctominay hawana consistency..wanahitaji muda kujifunza zaidi.

Kimsingi kk naona tunahitaji atleast wachezaji watatu kwa kuanzia

Note;OLE wakt anakuja UTD aliwaambia board anahitaji atleast 8 new signings..mpk sshv amepewa NNE..bado anahitaji NNE zaidi ili atimize lengo lake.
 
Nikiiangalia bayern naona timu yetu bado ina safari ndefu sana...nikiwaona beki wa pembeni wa bayern wanavyopiga krosi halafu nikiangalia krosi zetu za bissaka na william naona bado timu yetu ni ndogo kwa sasa
True..very true..but tupo kwny njia sahihi..i hope tutafika nchi ya ahadi siku si nyingi..
 
Hivi mnauhakika kwamba Man U huwa inapigwa au kutapeliwa kweny usajili , Je kama akina Ed ndio huwa wanapiga 10% haaa simuamini Ed
 
Brother hili tatizo sio la DORTMUND..Ni upuuzi wa Man utd..wapo slow sanaaa..

Unakumbuka deal ya Bruno na maguire!? Wanajivuta sanaa

Team kama Chelsea nawasifia kwny department ya kusajili..Walimalizana na kina Werner+ziyech kabla hata msimu haujaisha..sshv madogo wapo kikosini wanaCoupe na timu..Sisi tutasubiri mpk dakika za mwisho ndo vile mchezaji anakuja anaanza kustruggle cuz hajapata muda wa kutosha kuzoea timu.
 
Nimemaanisha ukiachana na Sancho ambaye price ipo juu,kwenye maeneo mengine tunaweza kupata wachezaji bila ya kupigwa hela nyingi maana sio kwamba tunatengeneza kikosi kipya,no ni kuongeza alternatives

Na recommendation zangu nimetoa kwenye comment za juu
 
True mzee..all gud
 
Bayern kwa sasa ukiondoa Odriozola, Sule, na Boateng centre backs wao ni converted midfielders au fullbacks.

Misimu mingi Bayern huwa hawana defence imara sana ila huwa wana midfield na striking force kali sana.

Wanafunga magoli mengi tu na wanakukimbiza sana suala la kuwafunga itategemea umestahimili vipi mbio zao na mashambulizi yao.

Ni kazi ngumu sana kuwazuia wasikufunge magoli mengi, ukiangalia jana waliamua kucheza wide kwa speed kubwa sana ambayo iliwalewesha semedo na Jodi Alba.
 
Striking force yetu inahitaji reinforcement kwa kupata striker anayeweza kuwa mbadala pale kina Martial anashindwa kufunga.

Tunahitaji wing ya kulia siyo lazima awe Sancho tunaweza kupata winger mwingine kikubwa awe na mchango katika upatikanaji wa mabao na kuimarisha timu defensively.

Tunahitaji back up midfielder particularly CM au CAM.
 
Kwanini David Gill hakutapeliwa?

Kwanini Madrid na Bayern wasitapeliwe?

Watu wanaohusika na recruitment ni viazi pale United.

Tuna pesa na Utajiri sawa na hizo timu mbili hapo juu, ila sisi kwenye usajili kwanini tupigwe tu?
Au na wenyewe huwa wanachukua 10% za usajili ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…