Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lingard co dogo wakuu, ni mkubwa kuliko pogba, ni mkubwa kuliko Bruno, ni mkubwa kuliko Bissaka, nahisi pia atakuwa mkubwa kuliko Maguire, ss huo udogo ni kwasabu ya kiwango auu?
We jamaa nae bhana watu si wanamuita tu kutokana na umbile lake pamoja na michezo yake ya kudansidansi unashindwa hata kujiongeza
 
Ni dogo tu mkuu, kwenye soka kuna sababu nyingi za kuita mtu/timu madogo

Inawezekana kimiaka mimi kwangu ni dogo, inawezekana kimuonekano pia ni dogo

Hata timu ndogo watu wanaziita madogo bila kujali average age zao

Kuna mtu nilikuwa naongea naye juzi akawa ananiambia wale madogo (LASK) tutawapiga nyingi, japo kiumri wamewazidi wachezaji wa United lakini tuliwaongelea kama madogo na tukaelewana

So hata Lingard sioni shida kumuita dogo
Lingard co dogo wakuu, ni mkubwa kuliko pogba, ni mkubwa kuliko Bruno, ni mkubwa kuliko Bissaka, nahisi pia atakuwa mkubwa kuliko Maguire, ss huo udogo ni kwasabu ya kiwango auu?
 
Kitu kidogo wadau wanafanya big deal

Kuna mdau mwingine pia hapo juu alipinga eti Lingard sio dogo

Sasa naona kila mtu anaongelea kuwa Lingard sio mdogo, kana kwamba umri wake haujulikani
We jamaa nae bhana watu si wanamuita tu kutokana na umbile lake pamoja na michezo yake ya kudansidansi unashindwa hata kujiongeza
 
Kitu kidogo wadau wanafanya big deal

Kuna mdau mwingine pia hapo juu alipinga eti Lingard sio dogo

Sasa naona kila mtu anaongelea kuwa Lingard sio mdogo, kana kwamba umri wake haujulikani
Kwenye soka la ss miaka 28 ni mingi, lkn pia hata kwenye maisha ya kawaida miaka hyo mtu co dogo japo najua unaweza kuitwa dogo na mtu aliyekuzd umri but hili la lingard kuitwa dogo nadhani limekaa tofauti kdg, me nadhani ni kutokana na umbo lake lkn pia jinc yy mwenyewe anavyojiweka na pia kutokukuwa kwake kisoka.
 
Kitu kidogo wadau wanafanya big deal

Kuna mdau mwingine pia hapo juu alipinga eti Lingard sio dogo

Sasa naona kila mtu anaongelea kuwa Lingard sio mdogo, kana kwamba umri wake haujulikani
Mbn Bruno Fernandes humuiti dogo japo umemzd umri, mbn pogba pia humuiti dogo, so tuseme tu kwamba hyo kasumba ya lingard kuitwa dogo imejengeka hivyo na itaendelea kuwa hvyo hata atakapofikisha miaka 30.
 
Nimeshatoa maelezo hapo juu

Huu mjadala nafikiri unatupotezea muda tu

Kimichezo kuna majina kama dogo nimekwambia yanatoka, hata timu ya jana nilikuwa na jamaa yangu akasema wale madogo tutawapiga nyingi, does it mean ni wadogo kiumri?

Tunamuita Mata mzee/babu, je Mata ni mzee? Au Ronaldo na Messi wameshazeeka, je ni kweli wamezeeka?
Mbn Bruno Fernandes humuiti dogo japo umemzd umri, mbn pogba pia humuiti dogo, so tuseme tu kwamba hyo kasumba ya lingard kuitwa dogo imejengeka hivyo na itaendelea kuwa hvyo hata atakapofikisha miaka 30.
 
Nadhani ntapata tabu sana kukuelewesha concept yng ilipo na ndiyo maana nikasema kwa soka la ss ukifika miaka 25 co dogo tena na ukifika 30 rejesta ya kisoka unaitwa mzee, kuhusu tm pinzani kuitwa madogo co kwmb hapo unamaanisha wachezaji bali unamaanisha tm, na ndiyo maana unawaita madogo mfano wolves unaeza kuwaita madogo but individually huwez kumuita dogo Ricardo yule kipa wao. Ok tuyaache hayo naona haina mantiki hii mada.
 
Bailly anacheza km askari aliye vitani, sijui ndiyo kupigania namba. Mtu anashoot yeye anatia kichwa dah! Ila akitulia ni kitasa cha uhakika, sema hana confidense, mwoga wa lawama
 
Jamaa wazuri sana

Ila kwa kikosi chetu, labda inter ndio anaweza kutusumbua
Sevilla huwa wanabahati sana na Europa league tukikutana nao itabidi tuwe serious sana maana timu nyingi za Spain huwa zinatusumbua sana.

Kwa Wolves labda wasiende na form yao waliokuwa nayo kwenye ligi wakienda na moto waliomaliza nao huenda wakafika finali.
 
Bailly anacheza km askari aliye vitani, sijui ndiyo kupigania namba. Mtu anashoot yeye anatia kichwa dah! Ila akitulia ni kitasa cha uhakika, sema hana confidense, mwoga wa lawama
Natamani angepata confidence na kupunguza kutumia nguvu sana aingie kwenye kikosi cha kwanza..Pia yupo vizuri akiwa na mpira
 
Hao Sevilla kiukweli mimi huwa nawachukulia poa, japo kwenye UCL walitufunga enzi zile za Jose

Naona kwa asilimia kubwa walichukua kombe sababu ya Unai (yaani kocha ndio mwenye bahati na si timu) na pia timu walizokutana nazo kipindi kile hazikuwa kali sana

Wolves tangu wapigwe na Arsenal na Chelsea (Kuna mtu hapa atasema mpira hauko hivyo) nawachukulia poa. Hata hivi karibuni na hii hii timu yetu iliyopigwa na Burnley, Bournamouth na Westham, Wolves wame draw mechi 2 na tumewafunga game 1.

Wolves wanaruhusu sana magoli hilo ndio linalonipa kiburi, hawapo solid. Na silaha yao kubwa ni counter attack.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…