Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tumefika nafasi ambayo Leceister walikuwa wametutunzia.

Chelsea wamebaki kwenye position yao waliokuwa wanaipigania.

Tukutane next season kwajili ya EPL Liverpool wajiandae kurudisha kombe katika jiji la manchester.

Hii timu yenu nayoiona haishtui.

Kivumbi msimu ujao kitaendelea kuwa kati ya Man City na Liverpool.
 
Kipa hakuna haja ya kumleta mwingine, degea anatosha.
 
Hii timu yenu nayoiona haishtui.

Kivumbi msimu ujao kitaendelea kuwa kati ya Man City na Liverpool.
Tunahitaji additional players watatu hasa striking force yetu bado haitishi sana but next season kupigania kombe tunahitaji consistency ya matokeo tu.

This season timu zote zilizokuwa zinamkimbiza Liverpool hazikuwa na consistency ya matokeo ya ushindi.
 
Pumbavu ww kwani mm nimeku quote.!!?? Chokoraa ww fanya yako achana na wanaume utaolewa kenge ww.
Mimi ni basha wako tu jitekenye hapo lakini lazima uje nikupitishie kitu chenye mcha kali nyuma huko
 
1. Msimu 2019 Man U ilikuwa top 6
2. Msimu huu ilikuwa top 3
3. Msimu wa 2020/2021 Man U itakuwa top 2 (Nafikiri itakuwa ikipambana na Mancity huku ikifuatia Chelsea,Liverpool, Arsenal na Tottenham)
4. Msimu wa 2021/2022 Ma U itafuta Ukame wa miaka 8 bila ubigwa hivyo kutwaa taji laEPL.
5.Kuanzia msimu wa 2022 hadi 2042,,,,,,, (Utawala wa King Man U of Epl utarudi yaani Ferguson alivyoiacha Man u 2013 , basi Ile Domination Legacy itaendelezwa na hali itarudi kama zamani. Yaani from 1992 to 2013 Man u ilbeba 13 EPL for 20 years.
6. Hivyo Man u itaendeleza utawala kuanzia 2022 hadi 2043 with 13 titles for 20 years kama Ferguson alivyofanya.

Sasa ukitoa hiyo 13 titles atakayobeba Man U kwenye miaka 20,,, Hiyo miaka 7 ya ndani kwa ndani ambapo Man U akiwa habebi ,, Timu za Chelsea, Mancity , Liverpool na Arsenal mtatakiwa kukaa na Safu zenu za bodi pamoja na benchi la ufundi mkijadili mtakavyogawana kila mmoja taji kwenye hiyo miaka 7 tuliyowaachia, Yaani kama mlivyojadili from 1992 to 2013 huku maisha yakiendelea na babu Ferguson akifanya yake.🤪🤪🤪


Sasa kama kuna mpinzani anayebishi wewe Screenshot hii message na tutakuwa tukikumbushana kila mwisho wa msimu kila lengo likiwa linatimia.
 
Man Utd ninayoiona sasa hatubebi hilo kombe unalolifikiria.

Hiyo top 3 ni Bruno effect, mchezaji ambaye Ed aligoma kumleta mpaka mashabiki wakaenda kumvamia kwake. Yeye angetuletea Grealish.

Hao additional players unaowafikia hutawapata na hata wakipatikana sio wale tunaowafikiria au kuwatamani, umesahau Ed ndo anatoa pesa??
 
Huu uzi umeingiliwa na huyu msng anajiita papaa gx sijui..anakera kisng yan..
Yan napata ht kichefuchefu ku-scroll kila ninapoona comments zake..

I think kama mashabiki wa utd tureport kila vomment ya kijinga anayoweka humu ili awe banned akili ikae sawa.
 
Hilo jamaa jinga sana..Ignore/Block him ili usione content zake
 
Jana nilielewa kwa nini man utd inahangaika kumpata sancho. inavyoelekea Rashford atakuja kukosa Namba.
 
Tumefika nafasi ambayo Leceister walikuwa wametutunzia.

Chelsea wamebaki kwenye position yao waliokuwa wanaipigania.

Tukutane next season kwajili ya EPL Liverpool wajiandae kurudisha kombe katika jiji la manchester.
Kwa timu hii, bado mna safari ndefu sana. Labda kuwania top 4 tu lakini sio kikombe chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…