Team bado sanaa hiiii... Kocha tia Maj tia MajOle amwambie Ed woodward kuwa hii timu bado..watoe hela tuingie sokoni kuleta vifaa..tofauti na hapo msimu ujao ni mambo yaleyale ya kuanza kupambana na wachovu Arsenal kucheza UCL wakati tukiongeza watu wachache tu na kocha akiimprove mbinu zake basi hatutakamatika..
Avunje kibubu aje Zidane tuOle amwambie Ed woodward kuwa hii timu bado..watoe hela tuingie sokoni kuleta vifaa..tofauti na hapo msimu ujao ni mambo yaleyale ya kuanza kupambana na wachovu Arsenal kucheza UCL wakati tukiongeza watu wachache tu na kocha akiimprove mbinu zake basi hatutakamatika..
Ole kafungwa mechi chache msimu huu kuliko Pep na Lampard sasa kama Ole ni tia maji tia maji hao wengine wanahali gani ???Team bado sanaa hiiii... Kocha tia Maj tia Maj
Kwani kocha mzuri ni Zidane tu ?Avunje kibubu aje Zidane tu
Kwa sasa n best coach in EuropeKwani kocha mzuri ni Zidane tu ?
Pendekezo lako mbona kama tulisajili msimu uliopita au usajili tuliofanya haujatick ?Ole amwambie Ed woodward kuwa hii timu bado..watoe hela tuingie sokoni kuleta vifaa..tofauti na hapo msimu ujao ni mambo yaleyale ya kuanza kupambana na wachovu Arsenal kucheza UCL wakati tukiongeza watu wachache tu na kocha akiimprove mbinu zake basi hatutakamatika..RB,LB,RW,CB na striker.
Kwahiyo kuna siku na Ole atakuwa best coach in Europe tuwe na subira.Kwa sasa n best coach in Europe
Mkuu hiv unajua ole huwa ana bahatisha... yaan hajui afanyalo.. example game ya ChelseaKwahiyo kuna siku na Ole atakuwa best coach in Europe tuwe na subira.
Kwa squad yetu msimu huu Ole kajitahidi sana tena sana
Nafikiri ukiondoa Liverpool team yetu msimu huu inafuatia kwa kufungwa mara chache zaidi.
Tunapaswa tuimarishe striking force na backup players kwenye maeneo muhimu tutafanya vizuri zaidi.
Unaweza kujustify hiyo hoja yako kuwa anabahatisha tu ?Mkuu hiv unajua ole huwa ana bahatisha... yaan hajui afanyalo.. example game ya Chelsea
Lampard ndio alibahatisha kwa kupewa magoli na Degea +MaguireMkuu hiv unajua ole huwa ana bahatisha... yaan hajui afanyalo.. example game ya Chelsea
Basi Ole atakuwa binadamu mwenye bahati sana kubahatisha kwenye ligi mpaka kufikia nafasi ya tatu huyu siyo binadamu wa kawaida.Mkuu hiv unajua ole huwa ana bahatisha... yaan hajui afanyalo.. example game ya Chelsea
Nimetoa mfano wa game ya Chelsea.. fa last weekendUnaweza kujustify hiyo hoja yako kuwa anabahatisha tu ?
Haujatick..tunahitaji RB wa kuelewekaPendekezo lako mbona kama tulisajili msimu uliopita au usajili tuliofanya haujatick ?
Haujatick..tunahitaji RB wa kueleweka
Time will tell
naunga mkono usajili wa mkopo ila kumsajili permanent itakuwa ni zaidi ya gamble na sababu kubwa ni hali yake ya kiafya (coman amekuwa na takwimu mbovu za kiafya).★Manchester United kwa upande wangu naonaga hawapo serious kwa kweli maana msimu ukianza team ikicheza hovyo wanasingizia hatujafanya usajiri,oh mala injuries afu dirisha la usajiri likifunguliwa wanazuga zuga kufuatilia mtu mmoja muda unaisha inapita hiyo,sasa hivi wana mtaka Kingsley Coman kwa mkopo kama wameaminia yuko poa watoe mkwanja wote
Hata mimi nilishangaa sana Romero kukaa benchi.Yani Ed atoe tena hela kwenye hiyo nafasi, hawezi. Mwaka juzi katoa hela kumnunua Dalot, mwaka jana Bissaka, mwaka huu ataangalia nafasi nyingine
Mwaka jana, wakati wanamchukua walijua AWB ni right back wa aina gani, old school
Kwa msimu huu wa usajili kwa mtazamo wangu, United watafute Striker, Kiungo mshambuliaji, na winger. Ingekuwa timu hazilii njaa na hii Corona tungesema tutafute beki wa kati mwenye pace ili am compliment Maguire. Anyway tunaweza kuendelea kumtazama Tuanzebe
Nafasi nyingine tunayohitaji kusajili ni kipa, au tumrudishe Henderson. De gea amefanya makosa mengi sana, unahitaji kipa asiyefanya makosa au anayefanya makosa machache sana kama unataka ubingwa
Kuna uwezekano Romero akaondoka, ali mind sana juzi kuwekwa benchi, na ana haki zote za ku mind... Inaonesha kocha hamuamini maana mechi za cup competition zote zilikuwa zake
Matokeo ya mbio za top 4 pia yatatoa dira ya wachezaji gani tutakaowasajili. Kesho ni kesho aisee.
ivi wakuu hatuwezi kumrudisha tom cleverly? mimi pogba simkubali
Yaani nikiona TAA anavyocheza,then nikimcheki Bissaka wetu napata kichefu chefu kabisa..Labda abadilike aiseeYani Ed atoe tena hela kwenye hiyo nafasi, hawezi. Mwaka juzi katoa hela kumnunua Dalot, mwaka jana Bissaka, mwaka huu ataangalia nafasi nyingine
Mwaka jana, wakati wanamchukua walijua AWB ni right back wa aina gani, old school
Kwa msimu huu wa usajili kwa mtazamo wangu, United watafute Striker, Kiungo mshambuliaji, na winger. Ingekuwa timu hazilii njaa na hii Corona tungesema tutafute beki wa kati mwenye pace ili am compliment Maguire. Anyway tunaweza kuendelea kumtazama Tuanzebe
Nafasi nyingine tunayohitaji kusajili ni kipa, au tumrudishe Henderson. De gea amefanya makosa mengi sana, unahitaji kipa asiyefanya makosa au anayefanya makosa machache sana kama unataka ubingwa
Kuna uwezekano Romero akaondoka, ali mind sana juzi kuwekwa benchi, na ana haki zote za ku mind... Inaonesha kocha hamuamini maana mechi za cup competition zote zilikuwa zake
Matokeo ya mbio za top 4 pia yatatoa dira ya wachezaji gani tutakaowasajili. Kesho ni kesho aisee.
Kufungwa mechi moja katika mechi 20 huku ni kubahatisha mkuu ?Nimetoa mfano wa game ya Chelsea.. fa last weekend