Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kamba,

Mshahara wa Sanchez unaweza dhamini Fa kwa miaka kadhaa

Emirates FA Cup prize fund

Angalia humo kama sisi tulitoka nusu tunapata pound laki 9 na bingwa pound milioni 3
 
Yaani ktk makombe ambayo hayana mpunga ni FA na sidhani kama inadhid £10m
 
Ninyi mara ya mwisho kuingia "fainali yeyote" ilikuwa msimu upi?? Maana tumesahau sasa...
 
Bora ubaki na DeGea kuliko kumleta huyo Henderson.
 

Best laid down analysis.

Big up mkuu.
 
Siku hizi wanaanzia mpira kwa kipa.

Wanacheza back passes, wakisogea kati wanapoteza mipira wanaanza upya.

Siku hizi ndo ujinga Ole kawafundisha.
 
Kaka wachache tu tunaoelewa haya, mimi ndio maana hata sikuwa na kimuhemuhe cha mechi na Chelsea kama ilivyokuwa kwa Soton.
I believe kesho tunashinda na tunaingia top four rasmi na hatutatoka tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…