Big surprise kwa hiki kikosi....ila nadhani fitness ya wachezaji wetu itaamua matokeo ya kipindi Cha kwanza lakini kipindi Cha pili naimani kitatakuwa Cha tabu na mahangaiko kwao maana naziona dalili ..... substitutions zetu zitakuwa kero kwao
Alipokuwa Liverpool injury za Suarez ilimuathiri sana.
Boko mbili za Gerald katika mechi mbili zilitosha kabisa kumnyima ubingwa.
Season iliyofuata alisajili wachezaji wengi sana ambao kwa vyovyote vile walihitaji muda mrefu kuwa pamoja na kuelewana worse enough wote walikuwa young players.