KWAHIYO TUMEKUBALIANA KUWA MANCHESTER UNITED NI BAISKELI YA KUNOLEA VISU INAPIGA KELELE SANA LAKINI IPO PALE PALE .
Nimeiposti sasa Mkuu ndio saa 6 hii.
Ishu co pogba kutoka ila issue ni presha za kipumbavu za kocha, tng mpira unaanza kamshusha pogba chini unategemea nini, yn leo eti alikuwa anacheza kwa tahadhari ss unacheza kwa tahadhari na Southampton kweli?
Ishu co pogba kutoka ila issue ni presha za kipumbavu za kocha, tng mpira unaanza kamshusha pogba chini unategemea nini, yn leo eti alikuwa anacheza kwa tahadhari ss unacheza kwa tahadhari na Southampton kweli?