Sisi tuna uhakika wa kumaliza ndani ya top 4 msimu huu, kwahiyo hukumu yoyote ile haitakua na madhara kwetu.kuna uvumi usio rasmi uliovumishwa na mpuuzi fulani unadai ya kwamba man city wameepukana na adhabu
ngoja tusubirie tangazo rasmi hapo kesho (13/7/2020)
ndivyo tunavyoombea,Sisi tuna uhakika wa kumaliza ndani ya top 4 msimu huu, kwahiyo hukumu yoyote ile haitakua na madhara kwetu.
Alichokosea chelsea ni kupanda nafasi ya tatu ambayo sisi tunaitafuta angebaki nafasi yake ya nne wala asingekutana na hii dhahama ya kufungwa na Shelfield united.ndivyo tunavyoombea,
la muhimu zaidi kwa kipindi hiki OGS hapaswi kubadilisha kikosi bila ya sababu za msingi kama anavyofanya super frank 8.
Lakini na sisi hatupaswi kujipa matumaini makubwa sana maana fixture yetu bado siyo rafiki pia.ndivyo tunavyoombea,
la muhimu zaidi kwa kipindi hiki OGS hapaswi kubadilisha kikosi bila ya sababu za msingi kama anavyofanya super frank 8.
Tukifungwa na hivyo vi timu Ni uzembe wetu... No excuse ni uzembe. Huwezi kujiita giant team unaiwazia Southampton au Crystal palaceLakini na sisi hatupaswi kujipa matumaini makubwa sana maana fixture yetu bado siyo rafiki pia.
Wasi wasi wangu ni Southampton huwa wanatusurprise mara kwa mara kwa kuanza kutufunga kisha tunaanza kupambana kutafuta goli.
Crystal palace na wenyewe siyo wepesi sana tukumbuke game ya kwanza walitufunga OT tunapaswa kwenda na tahadhari kubwa sana na tusiwaruhusu washambulie hasa kwenye flank ya John Van aanholt.
Leceister ni easy prey wa Man united toka wapande Ligi hivyo sina wasi wasi nao hawa tutawafunga tu na hata wakijitahidi sana watatoa sare.
Nina wasi wasi na Soton au Crystal Palace.
Hatujaona bandiko lako kuhusu progress yetu na tunachotakiwa kukifanya ili tuwe title contender..Mwagika kidogo mkuued woodward amepumzika kupokea lugha chafu......
Ni vizuri..hatupaswi kungangania Ban ya City ili tuende UEFA..tunapaswa kumaliza wa tatu.kuna uvumi usio rasmi uliovumishwa na mpuuzi fulani unadai ya kwamba man city wameepukana na adhabu
ngoja tusubirie tangazo rasmi hapo kesho (13/7/2020)
Kama tumewafunga Sheffield,Brighton,Aston Villa,Bournemouth ambao karibia wote hawa first round tulishindwa kupata point tatu,sioni sana cha kutufanya tupoteze point kwenye gemu hizo mbili..Lakini na sisi hatupaswi kujipa matumaini makubwa sana maana fixture yetu bado siyo rafiki pia.
Wasi wasi wangu ni Southampton huwa wanatusurprise mara kwa mara kwa kuanza kutufunga kisha tunaanza kupambana kutafuta goli.
Crystal palace na wenyewe siyo wepesi sana tukumbuke game ya kwanza walitufunga OT tunapaswa kwenda na tahadhari kubwa sana na tusiwaruhusu washambulie hasa kwenye flank ya John Van aanholt.
Leceister ni easy prey wa Man united toka wapande Ligi hivyo sina wasi wasi nao hawa tutawafunga tu na hata wakijitahidi sana watatoa sare.
Nina wasi wasi na Soton au Crystal Palace.
Sijaelewa kwann umeniuliza hili swali.Vipi Mourinho ameshatwaa ubingwa huko aliko?
Kama tumewafunga Sheffield,Brighton,Aston Villa,Bournemouth ambao karibia wote hawa first round tulishindwa kupata point tatu,sioni sana cha kutufanya tupoteze point kwenye gemu hizo mbili..
Mpira unadunda lakini kwa form yetu ya sasa kuwaogopa Soton na Crystal ni kuonyesha bado tupo kwenye hali yetu ileile ya september to december last year,kitu ambacho sio kweli
Soton kuna yule jamaa James Ward-Prowse, ni wakumchunga sana na mipira iliyokufa.Lakini na sisi hatupaswi kujipa matumaini makubwa sana maana fixture yetu bado siyo rafiki pia.
Wasi wasi wangu ni Southampton huwa wanatusurprise mara kwa mara kwa kuanza kutufunga kisha tunaanza kupambana kutafuta goli.
Crystal palace na wenyewe siyo wepesi sana tukumbuke game ya kwanza walitufunga OT tunapaswa kwenda na tahadhari kubwa sana na tusiwaruhusu washambulie hasa kwenye flank ya John Van aanholt.
Leceister ni easy prey wa Man united toka wapande Ligi hivyo sina wasi wasi nao hawa tutawafunga tu na hata wakijitahidi sana watatoa sare.
Nina wasi wasi na Soton au Crystal Palace.
Pogba anahitaji vipaji size yake kama vinne kuleta impact tunayoifikiria.Kusema ukweli bila mahaba kwa sasa tupo vizuri sana tokea mwanzoni mwa mwaka huu kuliko timu yoyote ile pale Uingereza. Kama tukipindua msimu ujao bila majeraha na hiki hiki kikosi cha kwanza kilichocheza mechi nne mfululizo tuna uwezo wa kubeba ubingwa bila hata kuongeza mtu. (fingers crossed, as long as no serious injuries)
Kama Pogba, Bruno, Greenwood, Martial na Rashford wakacheza pamoja kama sasa mechi zisizopungua 30 za ligi kuu, msimu ujao tunabeba ubingwa. Mara nyingi timu inayobeba makombe ikivuka mstari wa kati mtu yeyote yule anakufunga, wanakuwa na probability kubwa ya kupata goli dakika yoyote ile. Hiki tulikikosa kwa muda mrefu sana.
Bruno kabadilisha sana timu. Apart from being very creative pia ana kitu cha ziada anajua kutengeneza nafasi za magoli na kufunga pia. Binafsi nilikuwa namuona Pobga ndiye aliyekuwa na kipaji kikubwa pale kikosini lakini alikuwa anakosa support ya kipaji kingine cha ziada. Mf. msimu uliopita Pobga alikuwa top goalscorer kikosini alifunga goli 13 za ligi kuu na kutoa assists 9. Just imagine angeunganishwa na Bruno tokea msimu uliopita wangefanya makubwa sana.
Huwa nina imani kubwa sana na Pogba ndani ya uwanja. Japokuwa nje ya uwanja ana behavioral inconsistency labda ssb ya yule wakala wake mwenye tamaa ya pesa Mino Raiola. Niliamini muda mrefu sana Pogba alihitaji kuongezewa mtu mwenye kipaji sawa na yeye au kumzidi ili turudi ktk kiwango cha ushindani wa kweli.
itakuwa amekufananisha na member anayeitwa xYz07Sijaelewa kwann umeniuliza hili swali.
Bila shaka umenifananisha.
Yule msukule Ollachuga akija mnistue.
Sancho na Grealish wakija itakua boost kubwa sanaPogba anahitaji vipaji size yake kama vinne kuleta impact tunayoifikiria.
Hata mimi nimehisi hivyo.itakuwa amekufananisha na member anayeitwa xYz07
Kabisa yani au ukame alio nao filimimeno angekua nao martial daah wangetokwa na mapovuSwala la Man Utd ni zaidi ya football mbona hilo wanalifahamu ila hawawezi kukiri adharani
Kwa mfano yale magoli anayofungwa kipa wa Chelsea (Keppa) ndio angekua anafungwa De Gea ingekua bonge la story ktk media zote duniani, yaani pressure kwa De Gea ingekua kubwa sana
Usisahau kuiposti hi kesho mida ya SAA 6 usikuKWAHIYO TUMEKUBALIANA KUWA MANCHESTER UNITED NI BAISKELI YA KUNOLEA VISU INAPIGA KELELE SANA LAKINI IPO PALEPALE TU.