Mkuu nakukumbusha tu Rashford ana goli 20. Usijisahaulishe.Mkuu hujawazoea tu? Wakishashinda tu mechi tuwili tutatu wanajisahau kabisa na vile ole keshawajulia basi anawaendesha anavyotaka..
Ingekuwa liverpool ajabeba ubingwa wangeanza piga hesabu za ubingwa..hahaha angalia saiv wanapiga esabu za nafasi ya tatu utadhani mpira wanacheza wao tu ..
Enewei Hili timu na mashabiki zake wanajijua wenyewe..
Pogba ana 0 goal(s) msimu huu?
Sawa tuseme tayari muko nafasi ya tatu na Europa mumebeba hongereni..Naona ulivyopanik, relax mkuu huu mchezo hauhitaji hasira.
Wewe endelea kushikilia hiyo nafasi ya nne sisi tunataka nafasi ya tatu. Tusipoipata kupitia timu zingine tutaipata kupitia kwa Leceister.
We endelea kubaki hapo uswahilini sisi hatupahitaji.
Ondoa za penati na za taifa tunataka za epl tu..Mkuu nakukumbusha tu Rashford ana goli 20. Usijisahaulishe.
Pogba ana 0 goal(s) msimu huu?
Sawa. 😂Hahahaha kiungo Matic mzee, Pogba Tuma maji leo Yuko vzuri kesho anazingua, kwa Beki man u mko vizuri sana ila magwaya sio mpambanaji(sio wa kuaminiwa) ila mbele ndo kabisa hauna kitu ..Rashid akifikisha goli 15 msimu huu SITAINGIA KWENYE HUU UZI MPAKA MSIMU UNAISHA. lingard ndo kabisa ..ata Tammy akitulia vizuri anaeza kuja mkimbiza ..uyo masho hana tofauti na pogba, wote Tuma maji tu ..
Kiufupi hii man u mutakimbiza kama gemu tisa/kumi hiv baada ya hapo munajua nini kitatokea..
Injury toka mwezi september ulitegemea apate magoli akiwa kitandani ?Mkuu ni kweli jamaa ajafunga hata goli moja kwenye epl.
Mashabiki wanampa tu sifa. Nimeangalia list yote ya wafungaji epl jina lake halipo,ina maana ajafunga hata goli moja.
Injury toka mwezi september ulitegemea apate magoli akiwa kitandani ?
Nilijua Chelsea pekee yenye mashabiki wajinga kumbe hata Liverpool wapo ?
Kuwaga na akili basi pogba ni deep midfielder huwezi kumjaji kwa ufungaji yeye ni mchezeshaji...aya basi origi kacheza mechi ngapi na yeye ana goli ngapi na yupi striker hapoKacheza mechi 11 kashindwa kufunga hata goli moja,unataka acheze mechi ngapi ndio afunge.
Kuwaga na akili basi pogba ni deep midfielder huwezi kumjaji kwa ufungaji yeye ni mchezeshaji...aya basi origi kacheza mechi ngapi na yeye ana goli ngapi na yupi striker hapo
Ndonini sasa?
Ole kasema amem-keep kwa sbb ya uzoefu na uongozi kwa vijana. Ikumbukwe team haina wakongwe wengi wa kuongoza hawa madogo. BTW, kucheza itategemea na kiwango .....Binafs hii ni habari njemaNemanja hadi 2023
Mkataba mrefu sana kwa umri wake
Nemanja hadi 2023
Mkataba mrefu sana kwa umri wake
Ole kasema amem-keep kwa sbb ya uzoefu na uongozi kwa vijana. Ikumbukwe team haina wakongwe wengi wa kuongoza hawa madogo. BTW, kucheza itategemea na kiwango .....Binafs hii ni habari njema
Habari njema kwangu .. nikimuona matic huwa napata nafsi ya moyo tuchezapo na timu yoyote.Najua reason behind
Vilabu vyote duniani vinafanya hivyo endapo kiwango cha mchezaji kinaruhusu
Na kwa Matic kiwango kinaruhusu
Formula huwa wanaongeza mwaka mmoja mmoja, mchezaji akibisha sana anapewa 2 years
Lakini sio kwa miaka 3, hapa tunaongelea mchezaji wa miaka 32, ataondoka na 35
Najua kwa kiwango cha sasa cha Matic, ni ngumu sana kwa baadhi ya wadau kunielewa hapa
Matic is 31yrs Mkuu.....Carrick alistaafu na 36 na alikuwa kiungo mkabaji tegemezi mpaka kustaafu kwake.....Bila shaka unakumbuka scholes na Giggs walistaafu na miaka mingapi!Najua reason behind
Vilabu vyote duniani vinafanya hivyo endapo kiwango cha mchezaji kinaruhusu
Na kwa Matic kiwango kinaruhusu
Formula huwa wanaongeza mwaka mmoja mmoja, mchezaji akibisha sana anapewa 2 years
Lakini sio kwa miaka 3, hapa tunaongelea mchezaji wa miaka 32, ataondoka na 35
Najua kwa kiwango cha sasa cha Matic, ni ngumu sana kwa baadhi ya wadau kunielewa hapa
Matic is 31yrs Mkuu.....Carrick alistaafu na 36 na alikuwa kiungo mkabaji tegemezi mpaka kustaafu kwake.....Bila shaka unakumbuka scholes na Giggs walistaafu na miaka mingapi!
Sure..Lakini mkataba wa miaka mitatu at once sio kitu tulichozoea..Ole kasema amem-keep kwa sbb ya uzoefu na uongozi kwa vijana. Ikumbukwe team haina wakongwe wengi wa kuongoza hawa madogo. BTW, kucheza itategemea na kiwango .....Binafs hii ni habari njema