@BelindaJacob and @Co hongereni sana kwa kuwa mabingwa wa msimu huu. I don't see any scenario for MANC to compete with you and in my opinion Mancini don't deserve to be back next season.
Kuweni na subira jamani Mancini aende wapi tena? Mwaka jana tu kawapa ubingwa muwe na uvumilivu ndo mpira
Unataka wawe na subira kama sisi na AW!? Watalia kilio cha mbwa mdomo juu. Kachezea shilingi chooni kwa maamuzi yake mbali mbali ambayo yameigharimu timu kushindwa kutetea ubingwa wao.
I am watching..be very worried.
I am watching..be very worried.