Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kiukweli binafsi naona kama united inamhitaji pogba kibiashara zaidi ya ukamilifu wake uwanjani. Kwa mifumo ya sasa ambapo kila mchezaji anashiriki kwenye kushambulia na kuzuia (hata kudaka) inakuwaje unamtaka pogba anayekimbia kama ana jog halafu unampangia majukumu maalum peke yake? Hii mbinu aliitumia mourinho na akina ozil pale Madrid, Schneider pale inter lakini siku hizi haimsaidii tena.
 
Ole atakuwa na wakati mgumu sasa wa kuamua nani waanze kwenye midfield.

Ana DM ambao wako fit sana watatu na CM ambao wako fit sana watatu japo mmoja wapo anaweza kutumika kama CAM kwenye hao CM.

Nilisema toka mwanzo huenda rungu litawaangukia Scot au Fred mmoja lazima atakuwa sacrificial lamb, haitawezekana hawa DM watatu wote wacheze pamoja katika mechi moja.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Hii essay.. unaweza kidhani manure mnaongoza ligi
 
I don’t understand the sentiment of “ How do Pogba and Fernandes “ fit together . They won’t be in a 2 sitting! With more fluid systems today than 20 years ago it should be simple. We’ve just watched De Bruyne and David Silva play together for 3 years in a MDF 3.
(Gary Neville via Twitter)
 
Pogba licha ya kucheza entertaining footbal, ana pass za uhakika kuelekea langoni.

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…