Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,536
- 3,883
Liva wamelaaniwa kitambo pitia uzi huuIli ligi ife na liva aanze upya kufukuzia ubingwa wake wallah united hatutamuacha salama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Napenda kutoa wazo tukakupime akili samahani lakini. Me naona hata akili yako inatu DNA twa COVID 19,UBISHI,UJUAJI UROPOKAJI na KIGEUGEU kulingana na hizo hoja zakompaka sasa najitahidi kuamini ni wewe ninaekujua lakini nashindwa.
Haya ndo maswala nasemaga unachangia kitu kama "HUNA KICHWA JUU YA MABEGA".
Sent using Jamii Forums mobile app
sijazipata mkuu
huyu jamaa ndumilakuwili
Ha ha ha sisi inatuuma zaidi Liverpool akichukua ubingwa kuliko akina Edward Woodward. Ila N way sipendi sana Liverpool kuchukua ubingwa Wa EPL basi tu!
Nilisikia walionunua television rights..watazipiga..fain clubs kama ligi haitoisha...labda...wanajaribu kuepuka
Kuwa mupole man..Ukiingia huku uwe unaandika vema mana humu wote wako timamu. "Aina noma" ndio nini!?
Ha ha ha ha
FA wangese kweliHa ha ha sisi inatuuma zaidi Liverpool akichukua ubingwa kuliko akina Edward Woodward. Ila N way sipendi sana Liverpool kuchukua ubingwa Wa EPL basi tu!
Duuu!Wachezaji nane wa kikosi cha kwanza cha Westham wameambukizwa corona wapo kalantin
Habari mbaya hii kwa epl
Sent using Jamii Forums mobile app