Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,487
Ukiachana na quick break james ana cross nzuri, kabla Rash hajaumia ilikuwa ndio patnership bora ligi ya uingereza ikifungana na Kdb na Aguero, cross 4 za james Rashford alifunga. Hapo tena kuna goli 2 rashford alifunga hakupewa yeye wakapewa makipa kwa cross za james.James sio mambo ya majukumu..hata kipindi Rashford hajaumia,huwa inakuwa ngumu sana yeye kutembea timu pinzani ikiziba nafasi..yaani ni mzuri tu kwenye quick break..apart from that sioni jambo kubwa analoweza,na sisi tunategemea makubwa kutoka kwake
Maybe ata-improve with time
Umewaambia ukweliila washabiki wa united kwa pumba ni balaa, kocha na timu inayomfanya Fred aonekane World class sio kitu tena? Msimu huu Rashford amekua na mafanikio zaidi kuliko misimu yote aliochezea united na bado msimu haujaisha. Kocha ambae kila usajili wake ni mkali ndo sio kocha tena. Halaand na agent wake wana matatizo, lile jamaa lilitaka kiwekwe kipengele kama atauzwa baadae kuwe na fungu lake. Kwa kufanya hivyo maana yake agent anaweza kutengeneza zengwe baadae ili mchezaji auzwe lipate pasenti yake. Na hii mara nyingi inatokea mchezaji anapokuwa amefanya vizuri sana na ni tegemeo kwenye timu. Raiola ndio huyo anaemsimanga Ole kwa Pogba kwasababu anaona Pogba atakosa soko akiendelea kuwa United. Tuwe na taarifa sahihi kabla ya kuponda timu yetu. Muangalieni Frank Rijkaard alipoanza kuifundisha Barcelona, kabla ya Barcelona timu aliyoifundisha kule uholanzi aliishusha daraja kwa mara ya kwanza na Barcelona ikamuamini. Akiwa na Barcelona kuna wakati Barcelona ikawa katika nafasi za kushuka daraja. Yeye ndie aliempeleka Etoo na Ronaldinho Barcekona na akachukua UEFA baada ya miaka kadhaa ya barca kusuasua. Fuatilieni mambo united. Huyu ndie kocha wa kwanza united ambae mchezaji anaesajiliwa anaingia moja kwa moja kwenye timu na kufanya mabadiliko. Mpewe nini umbwa nyie? Aaagh
Mkuu baada ya Raiola kutoa hio comment baadae ameomba msamaha na kurudisha maneno yake, amesema hakujua kama man u wana mechi kubwa pia amekiri pogba ni mchezaji wa man u na anaweza sign mkataba mpya.Nasikia Sauti ya Pogba katika maneno ya Mino Raiola.
Ifikie wakati Man united wawe na msimamo juu ya suala la Pogba.
Man united imewahi kufanya vizuri sana kabla ya Pogba hata hajazaliwa.
Pogba akiondoka Man united kuna wachezaji wengi sana Duniani wanaweza kucheza nafasi ya Pogba kwa kiwango kama cha Pogba au zaidi ya Pogba.
Kwanini United wanaendelea kumshikilia Pogba katika ya sintofahamu namna hii ?
Ningelikuwa Woodward ningemuuza Pogba kwa Pound 2 tu ili timu yoyote inayomhitaji waje wamchukue na vipimo vya afya ningewasaidia kumfanyia kwa vifaa vya Club.
Inatosha sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hizo krosi anapiga vizuri tukiwa tunafanya kaunta na ndo mechi alizo shine zaidi..refer big matches tulizochezaUkiachana na quick break james ana cross nzuri, kabla Rash hajaumia ilikuwa ndio patnership bora ligi ya uingereza ikifungana na Kdb na Aguero, cross 4 za james Rashford alifunga. Hapo tena kuna goli 2 rashford alifunga hakupewa yeye wakapewa makipa kwa cross za james.
Ni kweli mkuu james hawezi kuwa key player ndio maana hata mimi nalilia usajili wa sancho, ila james ni squad player mzuri sana.Mkuu hizo krosi anapiga vizuri tukiwa tunafanya kaunta na ndo mechi alizo shine zaidi..refer big matches tulizocheza
James hawezi kuwa key player wetu kwa sasa ila kocha inabidi ampe nafasi ya kucheza kushoto zaidi kwenye mechi ambazo hatupewi nafasi ya kufanya kaunta
Mkuu baada ya Raiola kutoa hio comment baadae ameomba msamaha na kurudisha maneno yake, amesema hakujua kama man u wana mechi kubwa pia amekiri pogba ni mchezaji wa man u na anaweza sign mkataba mpya.
Unafikiri nani amemwambia aombe msamaha na kusema hivyo?
Media zina agenda zao wengi wamereport comment ya kwanza na kuacha ya pili
Pogba anaweza kuwa na shida shida ila huyu wakala wake ndo mpumbavu zaidi au inawezekana Pogba ndo anapika naye hizi propagandaRaiola muhuni tu alikua anajua kabisa Utd wanacheza na ndio maana alisema hivyo ili iwe viral.Nafikiri amejishtukia baada ya kuona mambo hayajaenda kama alivyotaka tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna cha media agenda wala nini, huyo Pogba yuko nyuma ya maneno ya wakala wake.Mkuu baada ya Raiola kutoa hio comment baadae ameomba msamaha na kurudisha maneno yake, amesema hakujua kama man u wana mechi kubwa pia amekiri pogba ni mchezaji wa man u na anaweza sign mkataba mpya.
Unafikiri nani amemwambia aombe msamaha na kusema hivyo?
Media zina agenda zao wengi wamereport comment ya kwanza na kuacha ya pili
Pogba ana mkataba wa miaka 2 na option ya ku extend mwaka mmoja kama kumbukumbu zipo sahihi, na Ed wala hajali kinachoendelea uwanjani as long as anauza jezi na hela inaingia kwenye PR na marketing yeye anafurahi tu. Anaweza akamuacha hadi akiwa na miaka 30. Hivyo either timu zinatoa hio 150 anayotaka Ed ama atabaki Man U.Hakuna cha media agenda wala nini, huyo Pogba yuko nyuma ya maneno ya wakala wake.
Huyo Raiola anafanya kazi ya kuuma na kupuliza.
Mimi ninavyoona.
lengo lao ni moja wanataka Pogba aondoke Summer ijayo.
Tatizo ni Moja ni timu chache zinaweza kukubaliana na Valuation ya Man u.
Ndio maana Raiola (Pogba)anachafua hali ya hewa ili thamani ya mteja wake ishuke.
Jiulize ni kwanini hata kaka Yake) ame comment vilevile.
Pogba mwenyewe summer iliyopita alisema anataka kuondoka.
View attachment 1362722
Beggars can't be choosers
Pogba anaweza kuwa na shida shida ila huyu wakala wake ndo mpumbavu zaidi au inawezekana Pogba ndo anapika naye hizi propaganda
Hakuna cha media agenda wala nini, huyo Pogba yuko nyuma ya maneno ya wakala wake.
Huyo Raiola anafanya kazi ya kuuma na kupuliza.
Mimi ninavyoona.
lengo lao ni moja wanataka Pogba aondoke Summer ijayo.
Tatizo ni Moja ni timu chache zinaweza kukubaliana na Valuation ya Man u.
Ndio maana Raiola (Pogba)anachafua hali ya hewa ili thamani ya mteja wake ishuke.
Jiulize ni kwanini hata kaka Yake) ame comment vilevile.
View attachment 1362722
Kwani umesahau Summer iliyopita Pogba aliropoka nini.
Cha mhimu hapo, Auzwe Summer. Pesa itumike kumleta yule kijana wa Aston villa.
Beggars can't be choosers.
Pogba ana mkataba wa miaka 2 na option ya ku extend mwaka mmoja kama kumbukumbu zipo sahihi, na Ed wala hajali kinachoendelea uwanjani as long as anauza jezi na hela inaingia kwenye PR na marketing yeye anafurahi tu. Anaweza akamuacha hadi akiwa na miaka 30. Hivyo either timu zinatoa hio 150 anayotaka Ed ama atabaki Man U.
Na Mkuu Raiola ni muhuni kila mtu anamjua ila Pogba nitamtetea vitu vingi huwa watu wanamsingizia na speculation tu, hata hio ya Raiola ku backtrack maneno yake mwenyewe kuna uwezekano mkubwa ni pogba ndio amemwambia.
Na hata kama pogba anataka kuondoka ni sawa ila jamaa anaipenda man U na ni popular figure kwa watoto wetu academy na wachezaji wengi tu, mkuu naweza take time na kukutafutia interview nyingi tu za wachezaji wetu wageni tunaowasajili na watoto wa academy wakimshukuru jamaa kwa kusettle kikosi cha kwanza man U. Even Fred juzi anahojiwa anamshukuru Pogba kwa kumsaidia. Kuna mambo mengi sana mkuu yanaendelea nyuma ya pazia ambayo sisi hatuyajui ila media zinatulisha tu sumu.
Na everton?na Everton
Duuuh ole mbinu zake zinaonekanaUmewaambia ukweli
Timu ni process kujengwa , sio overnight umeamka una timu nzuri ,hakuna biashara hiyo.
Ole Mimi naonaga hata mbinu zake zinaonekana, baada ya summer anaweza kupata timu nzuri tu, Maana sajiri zake zinaonekana zina function .
Mpeni muda
Uko Buza umeshiba makande unajifanya una jicho mbali kushinda Pogba kwenye kuona kesho Yake.
Shangilia mpira achana na life la watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio pasi kwa Greenwood goli la kusawazisha.Na everton?