Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
SALAH NDO KAWAPA MIMBA NA KUVUA JEZI KUONYESHA UANAUME WAKE KUWA MPAKA JASHO LIMEMTOKA KAZI AMEIMALIZANina mpango wa kukupa mimba wewe kimasihara
Nipo serious mkuu, kama hapa noma ngoja nikufuate pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwa Manchester United hii tulitegemea kupata matokeo kwa Liverpool au ndio mpira unadunda ehh
Ni Chelsea tu ndio amekubali kuwa kibonde wetu. Ni ajabu kwa timu mbovu kama hii ya Ole tangu dirisha limefunguliwa hadi sasa haijanunua mchezaji wa maana halafu unamsikia Ole akijipa matumaini naye ataijenga MUFC kama Klopp alivyoijenga LiVAR. Timu haina DM na wala husikii ikitafuta DM wa maana, timu tajiri inahesabia pesa mfukoni. Liver na ubora wake wote baada ya dirisha kufunguliwa tu wamevuta chombo,MUFC yangu ipo ipo tu.😂😂 |
Tusajili Kiungo wa nini wakati tunaye fundi wa Mpira Pogba
hapo inategemea kipaombele cha mwalimu husika, dirisha lililopita mwalimu aliamua kuingia sokoni kwa lengo la kuimarisha safu ya ulinzi na alitumia takribani paundi millioni 130 kwa wachezaji wawili (wan bissaka na maguire), kwake aliamini eneo linalotusumbua zaidi ni ulinzi huku akijibebesha matumani viungo wake (pogba, perreira, lingard, fred) watazidi kuimarikaKwa hiyo Mkuu tusisajili striker mpaka tutakaposajili wing back wazuri, mpaka tutakaposajili viungo wachezeshaji wazuri
SALAH NDO KAWAPA MIMBA NA KUVUA JEZI KUONYESHA UANAUME WAKE KUWA MPAKA JASHO LIMEMTOKA KAZI AMEIMALIZA
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeacha kuishabikia Arsenal kwa hiyari yangu mwenyewe, naenda kula maisha Manyumbu hukoOle anastahili lawama kubwa.
Mosi anaridhika na kikosi chake wakati ni wazi tunahitaji 3 classic players.
Pili Jose asingekubali huu upuuzi wa kumtetea CEO kwa uzembe na angesema hadharani.
Tatu RW ni tatizo la muda mrefu sana sijui kwanini tangu Moyes hadi sasa bado tuna sua sua
Nne Ilikuwa ni ujinga wa kiwango cha SGR kubadili kocha kila mara.Matokeo yake kila tukibadili kocha tunaanza upya kuanzia mfumo na aina ya wachezaji kwaajili ya mfumo mpya.
Tano Pogba ni mchezaji mzuri sana lakini kama anataka kuondoka nadhani ni vyema akaachiwa aondoke mapema.Sioni mantiki ya kuendelea na Pogba wakati wapo wachezaji wengine wengi tungeweza kuwa nunua kwa fedha za mauzo yake.
Mwisho nadhani tuendelee na hii project ya Ole labda tunaweza kufurukuta mwakani hasa tukizingatia aina ya wachezaji alionunua wote wako vizuri pia kiwango cha Fred kimepanda kipindi chake.
Tusikate tamaa msimu huu ni Liverpool hilo halina mjadala tena.
Mashabiki kindaki ndaki wa Man tuendelee ku support team yetu.
Funy, jamaa wanafurahia kuifunga one of the weakest Man Utd in many years.... The weakest team without their 3 best players
Funny Klop aliponda Man Utd ku defend deep na kufanya counter attack, kitu alichofanya yeye hususani kwenye goli la pili
Funny Klop aliwahi kusema itakapofika wakati anatakiwa kununua mchezaji kwa pound milioni 70,80.....100 ataachana na soka kabisa (wakati Pogba amenunukiwa), Baada ya mwaka akamnunua VVD, beki kwa kiasi cha kuvunja rekodi
Maisha bila unafiki yanawezekana
Sent using Jamii Forums mobile app
WAMEPIGWA MITI MIWILI TENA AKA PAMPU MBILI
HAHAHAHAHAHA HIHIHIHIHI
Duuuu! Hii kauli ya kishujaa sana
It true hii looserpool ya kawaida mno, huwezi ifananisha na Great Manchester United ya Sir Alex, jinsi Manchester ilivyo mbovu ilipaswa looserpool washinde goli hata 8 - 0Duuuu! Hii kauli ya kishujaa sana
Liver wako vizuri lakini wameshasajili takumi lakini nyie bado mpo kwenye tetesi tu
Ni Chelsea tu ndio amekubali kuwa kibonde wetu.
Ni ajabu kwa timu mbovu kama hii ya Ole tangu dirisha limefunguliwa hadi sasa haijanunua mchezaji wa maana halafu unamsikia Ole akijipa matumaini naye ataijenga MUFC kama Klopp alivyoijenga LiVAR.
Timu haina DM na wala husikii ikitafuta DM wa maana, timu tajiri inahesabia pesa mfukoni. Liver na ubora wake wote baada ya dirisha kufunguliwa tu wamevuta chombo,MUFC yangu ipo ipo tu.😂😂
Hivi kipindi liver ipo mbovu man u alishawahi kumpiga liver 8?It true hii looserpool ya kawaida mno, huwezi ifananisha na Great Manchester United ya Sir Alex, jinsi Manchester ilivyo mbovu ilipaswa looserpool washinde goli hata 8 - 0
Yaani hata Sir Alex uko alipo anashangaa kwann looserpool wanaongoza ligi? Nafikiri mwisho wa dunia umekaribia
Sent using Jamii Forums mobile app