Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunataka cleansheet.

Ila kadri muda unavyokaribia pressure inanijia, maana last time nilikuja na matokeo yangu OT, dah noma sana.
ole at the wheel.... sijui nimeandika sentensi sahihi?

lazima presha iwe kubwa kwa sababu munahitaji alama 33 ili muondokane na laana ya kukosa ubingwa kwa miongo mitatu.

cool down brother...
 
ole at the wheel.... sijui nimeandika sentensi sahihi?

lazima presha iwe kubwa kwa sababu munahitaji alama 33 ili muondokane na laana ya kukosa ubingwa kwa miongo mitatu.

cool down brother...

Ubingwa uko around, shida ni pride ya kwamba tumemfunga Man Utd.

Maana sasa hivi ni nyie tu mnaotupigia kelele kwamba hatuwawezi.
 
Ubingwa uko around, shida ni pride ya kwamba tumemfunga Man Utd.

Maana sasa hivi ni nyie tu mnaotupigia kelele kwamba hatuwawezi.
teh teh
ukimkuta mshabiki wa man utd anajisifia kuwa bora mbele ya liverpool kwa kigezo cha head to head msimu huu basi mpuuzie..

ni sawa sawa na mtu anayesifia kuongezeka kwa pato la taifa lisiloleta satisfaction yeyote kwa raia wa kawaida.

uchumi umepanda kwa asilimia 10
 

Nimekuelewa mzee mwenzangu, ila washabiki huwa tunatambiana kwa vitu vidogo vidogo kama hivyo.

Sasa leo inabidi hizo doubts zifutike.
 
Ubonafsi mwingi sana aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…