Breaking News:
Manchester United board have inquired about Kylian Mbappé.
PSG has responded that the player is fine and doing well and thanked them for asking.
√Brandon Williams yuko poa sana..Hakuna Kitu Shaw anamzidi huyu dogo zaidi ya unene,lakini dogo kuna vitu amemwacha Shaw..dogo movement zake zipo poa na anafika ontime kwenye baadhi ya maeneo kufanya recovery..very impressive
√Mata is not anywhere near from what we want in No 10 position,lakini akicheza atleast unaona kitu sio kama Lingard huyu aliyejifia
√Natamani sana tumpate mchezaji damu changa atakayecheza kama Matic..yupo so confident na mpira mguuni..proper midfielder
√Greenwood ni top class finisher ajaye kama atakuzwa vizuri
√Norwich ni wabovu sana..Hakuna kikubwa cha kujivunia kuwafunga nne old trafford
√Next PL match ni Liverpool away,itakuwa noma sana