Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tatizo kubwa la United kwa sasa ni uwepo wa OGS

Najua United ina tatizo kubwa kuliko coaching staffs lakini kuna mambo ambayo ni madogo madogo kwa benchi la ufundi makini kwa wachezaji hawa hawa tulionao tungeweza kuyashughulikia. Kuifunga Watford, Aston Villa, Newcastle, Everton, Bournamouth huhitaji kuwa na Christian Ronaldo au Lionel Messi

Nikimuangalia OGS namuona ana mentality zaidi ya Sporting Director kuliko kocha, always he is talking about the future, about United culture, identity, about United way, about something big than training and managing players

We need a trainer in a coaching position and we need Sporting director in Director of Football position.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Micah Richards
"I feel a bit sorry for Rashford because if he was in City’s team he would get 40 goals a season."

Je kuna ukweli hapa? Kuna ka hisia kananijia tunaua vipaji maana daaaa

Nina uhakika kama Rashford angeendelea kuwa chini ya Luis van Gaal angeweza kuwa kwenye top strikers by now, Mourinho ni moja ya watu walirudisha nyuma uwezo wa jamaa.
 
Nikiziona posts za sikuhizi humu ndani basi huwa ninajikumbuka mimi mwenyewe sana nilivyokuwa
 
Micah Richards
"I feel a bit sorry for Rashford because if he was in City’s team he would get 40 goals a season."

Je kuna ukweli hapa? Kuna ka hisia kananijia tunaua vipaji maana daaaa
Richard yupo sahihi,vipaji vinakufa hapo hakika....mtu kama sanchez aliyeuwasha kule London hapo kashindwa na kaflop mazima,mifano ni mingi....Mikhi,Pogba,Fred,Lingardinho,Martial,Mata, Lukaku.......hapo nimewaacha kina di maria na Memphis huyu DJ hana muda mrefu nae atafuata wenzie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mumesajiri mchezaji mpya anayeitwa David James????

Au ndio weweseko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekuwa mpoleeeeee leo ...safi sana ,hii hali ikiendelea mashetani wote tutawakuta peponi....

Chama langu la utotoni Norwich City nawaamini sana,hawatanuangusha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanini kununa akati hili ni swal la mpito tu na tunajipanga kwa ujio mwingine nazani hatutakuwa kama tulivyo kwa sasa nazani utajionea #CopyDat
Afu ulitaka tulie ama kununa kisa kufungwa kwani sisi ni wa kwanza kufungwa toka ligi ianze soon furaha inakuja utanambia afu wewe kama huwa unalia mkifungwa chukua position yangu nisije onekana sina machungu na timu.
Unafurahia kupigwa tatu kama yanga wanavyofurahia sare...aiseeeeeh msumekuwaje nyie nyumbu....ndio mumefikia huku!!!!??

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
True

Timu yetu inavyocheza inaonyesha kuna poor training ever..hata details ndogo ndogo tu wachezaji inaonyesha hawapewi zaidi ya kutegemea individual brilliance
 
Vishabiki vya asenane ni "vipuuzi" kabisa,kutwa nzima vipo humu kwenye uzi wetu vinaongea ujinga ujinga tu..nendeni kwenye uzi wenu

Mbona watu wa Liverpool wapo cool na wanatoa challange za kueleweka??,,nyie mnakuja na vistori vyenu vya kijingajinga na kutuharibia uzi wetu
 
Ni kweli kabisa mkuu OGS hana analojua zaidi haya uhamasishaji.... Yani unaangalia tukiwa tunashambulia positioning inakuwa kazi wachezaji hawajui hata wakae wapi......mwisho tunapiga pasi uchwara za kurudi nyuma.....

Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini OGS atakuja kutupa mafanikio, yani hata wakimfukuza akaja kocha mzuri akaunda kikosi alafu OGS akarudishwa hana atakalotupa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…