Nakubalikwahali hii chini ya solskjaer hata baada ya miaka 4 hatutakuwa tumerudi kwenye ubora wetu anaebisha asave hii comment tukutane 2023....
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh Ogs anataka kutustafisha mapema, yaani now days sina raha na chama langu kabsa, mzee ferg alitudekeza sana enzi za glory daysOle sio kocha bali mhamasishaji wa kuitafuta morali ya wachezaji. Tangu usajili wake alitutia mashaka kwa kuonekana kupendelea mazao ya academy au waingereza kuichezea united.
Pili,huoni mfumo au muunganiko wa utengenezaji mashambulizi zaidi ya asilimia kubwa kuwa magoli ya juhudi binafsi ya wachezaji (achilia mbali goli la Martial dhidi ya Cardiff mwaka jana),huoni la maana analofanya hapo.
Upangaji kikosi nao umekuwa wa mazoea zaidi,haiwezekani mechi dhidi ya city,Watford, westham kikosi ni kile kile,mbinu ni zile zile na mbaya zaidi mfumo pia haubadiliki.
Amekuwa na tabia ya kuogopa kuwafanyia mabadiliko wachezaji wenye majina makubwa kiasi mfano martial, rashford na pogba,au anakuwa hajui afanye nini.
Hadi sasa ana mwaka na zaidi lakini sioni jipya tunalolifanya chini ya huyu jamaa zaidi ya kupata ushindi usiotabirika tu. Wachezaji hawamuogopi kabisa,kiwango cha leo na kesho ni sawa sawa. Mbaya zaidi,makosa wanayoyaona watu wasio na taaluma kama yake,yeye bado anatudanganya kuwa mambo yako sawa. Mfano usajili wa kiungo na striker tangu majira ya joto,yeye anaongelea majeruhi wakirudi utakuwa sawa na usajili mpya. Hivi kweli tunategemea jipya toka kwa pogba na baily kuiimarisha united?
Atatufanya tustaafu mapema kuangalia mpira huyu jamaa,
Roy timu haitakaa hata miezi minne itakuwa ishasambaratika na yeye kutimuliwa +kuanza upya kujenga timuAkiwa Roy Keane sipati picha sekeseke litakalotokea chumba cha kubadilisha nguo
Sent using Jamii Forums mobile app
Pogba anataka kuondoka ifikapo January.
Je? Bila pogba mutaishi??
Kila la kheri Chelsea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani yeye mungu?Pogba anataka kuondoka ifikapo January.
Je? Bila pogba mutaishi??
Kila la kheri Chelsea
Sent using Jamii Forums mobile app
De Gea
Dalot Tuanzebe Maguire Williams
McTominay Fred Pogba
Greenwood Martial Rashford
Nampa james likizo kidogo he is out of his sharpness tunapokutana na timu ndogo..
Sababu ya msingi ya Martial kupumzishwa ni nini mkuu??..Hii line up, ni nzuri pia, japo kwa sababu hiyo Martial anaweza kuwa ndio mtu sahihi kupumzishwa
Ila kwa kuwa Martial ana status yake tayari, anaweza kuonekana hagusiki
Uzuri wa James, atakusaidia offensively na defensively
Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu ya msingi ya Martial kupumzishwa ni nini mkuu??..
Alivyoingia Pogba uliona walivyocheza??..
Simkubali Martial maana hajitumi lakini kwa kuangalia mechi iliyopita na kurudi kwa Pogba,sioni sababu ya kumdrop,labda tungoje tuone mechi hii na zijazo..
Hii lineups umeitoa wap wakat bado haijatoka au your predictions?De Gea
Dalot Tuanzebe Maguire Williams
McTominay Fred Pogba
Greenwood Martial Rashford
Nampa james likizo kidogo he is out of his sharpness tunapokutana na timu ndogo..