Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pengine ni kukosa concentration kwenye mechi yote (90 minutes)

Pengine ni kukosa pumzi, kukosa fitness ya kutosha kwa wachezaji na kuchoka mwishoni

Pengine ni utoto (wachezaji kukosa uzoefu) kwa kudhani mechi imeisha, hapa nakumbuka zaidi mechi yenu na ya Arsenal

Pengine ni kumtathimini kocha kukosa mbinu za kumaliza game (sidhani kama Jose anaweza kupoteza uongozi wa mechi mara nyingi kiasi hicho)

Hii ni mifano tu

Okay, kwa kuangalia matokeo ya halftime unaweza vipi kujua unapokwama?
 

Good analysis.

Thank you.
 
hapo juzi kati tu aliwapeleka Dubai
eti kujenga match fitness ebu ole awe serious
 
Leo mo anakuja kuwagalagaza hapo hapo OT, red devil

Kashasema hana undugu na mashetan wekundu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…